Recent content by ashton

  1. A

    Mbowe achukuliwa fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA na wazee wa Kigoma

    Strong ya wapi tena? Mbona nasikia tayari kaumia
  2. A

    Mbowe achukuliwa fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA na wazee wa Kigoma

    Tulia dawa ikuingie siyo kulalamika. Msemaji wa Chadema huwezi kila siku unashinda mitandaoni kuporomosha matusi eti kisa inatumia ID ambayo watu hawaijui
  3. A

    Mbowe achukuliwa fomu ya kugombea uenyekiti CHADEMA na wazee wa Kigoma

    Hizo siasa za matukio watu tulishazizoea. Hazina tofauti na chopa tatu kata tatu
  4. A

    Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

    Acha kupotosha Wangwe aliuawa na Chadema wakiongozwa na Mr. Zero Mbowe. Ila hata Mbowe hana siku nyingi maana kaungua siku nyingi
  5. A

    Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

    Yaani we ndo umejua leo? Huyo ni muuaji anayejulikana siku nyingi. Amekua akitumika kwa sababu hajitambui na hawezi kuwa na maisha nje ya siasa. Wewe hujawahi kushangaa mtu aliyefeli chuo kikuu cha Dar es Salaam kurundikiwa madaraka kibao wakati hana elimu? Sababu kubwa ni kuwa huwa anaweza...
  6. A

    Mchange awashambulia viongozi wa CHADEMA

    Kaka acha kutoa povu. Hayo yote aliyoyasema Mchange wengine tunayajua siku nyingi. Mnyika ndio maana alishindwa kumaaliza Chuo kwa sababu ya laana ya damu za watu. Haiingii kichwani kijana asiyekua na elimu yoyot katika karne hii anakabidhiwa majukumu mengi katika Chama wakati vijana wasomi...
  7. A

    CHADEMA yazidi kudhoofika,viongozi Urambo wajivua magwanda

    Endeleeni kujifari. Chadema hakika inakufa
  8. A

    John Heche na Ester Matiko kuvunja kanuni za uchaguzi Tarime.

    Wewe ni nani hata uanze kuwatisha watu. Acha uchafu wa Chadema uwekwe wazi ili watu wajue double standards zinazofanywa na viongozi mbumbumbu walifeli shule. Eti umeshamjua!! So what? Mpigie basi kimada wa babu msemaovyo Josephine kuwa kuna mtu umeshamjua. Sisi tunataka hoja na siyo vitisho. Au...
  9. A

    Nimesimamishwa kazi Serikalini, naomba msaada wa kisheria

    Kwa sheria ya sasa hairuhusiwi kumpa mtu nusu mshahara waliomsimamisha wamefanya hivyo kwa kutumia mazoea. Mashauri ya kazi huwa yanapaswa kumalizwa mapema ili mhusika ajue hatima yake na kumwondolea msongo wa mawazo.
  10. A

    Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

    Mbowe anaitwa Mr. Zero kwa sababu alitaga mtihani wa form six. Au wewe hujui? Zitto hawezi kuwa Mr. Zero kwa sababu mwenzio ni msomi na anamalizia PhD.
  11. A

    Msimamo wa chama cha ACT-Tanzania na katiba mpya

    We utakua umechanganyikiwa. Eti wamechukua maoni ya Chadema!! Na Chadema walichukua wapi? So stupid like your Chairman Mr. Zero Mbowe.
  12. A

    Exclusive VIDEO: Makada wa CCM na ACT-Tanzania watajwa kuihujumu CHADEMA!

    Sisi watanzania tumewadharau sana hao Chadema. Babu msema ovyo Slaa anatafuta kiki. Eti walipue ndege!! Nani akalipue hako ka Kikongwe?? Mtu kashindwa kupona mkono for almost ten years ndo alipuliwe!! Wadanganyeni hao hao wanywa viroba.
  13. A

    Exclusive VIDEO: Makada wa CCM na ACT-Tanzania watajwa kuihujumu CHADEMA!

    Chama kinachoongozwa na wazinzi hakiwezi kuwa mpango wa mungu. Naomba nikuswalike, mwenyekiti wenu Mbowe hiyo miwaya aliipata wapi?
  14. A

    Linex: Nitagombea ubunge Kasulu Mjini

    Wana Kasulu tunamuunga mkono Linex kwa sana. Ameutambulisha mkoa wa Kigoma vyema. Huyo kicha Machali mwenye laana ya wazazi aondoke zake.
  15. A

    Mdahalo wa Katiba (UDASA) kupitia Star TV - Agosti 3, 2014

    Tupe kwanza matokeo ya mwenyekiti wa Chadema Mr. Zero Mbowe katika mtihani wa form six then tutakupa ufaulu wa huyo mwenyekiti wa mdahalo
Back
Top Bottom