Huu ni wizi tatizo sisi watanzania waoga wapuuzi ndo maana watawala wana kibri na jeuri ya kufanya lolote hili jambo kwa umoja wetu tukiamua kulikataa halitokuwepo
Bongo flava ilikuwa poa sana miaka hiyo sasa hivi kusample kumezidi sana mpaka identity imepotea kwa mwendo ule labda ingepata utambulisho wake ila kwa sasa mmmmh umepoteza dira,studio zimekuwa nyingi nyimbo hazina ubora bora liende ukisikiliza bongo flava kama kwaito au naija flava,hakuna tena...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.