ashbuton grove
Member
- Aug 27, 2013
- 68
- 4
- Thread starter
- #21
Mimi ninazo nauza kwa laki na nusu tu, anayehitaji ani pm
mkuu ingekuwa busara tu ukalog in na kuanzisha uziwako na wewe
Mimi ninazo nauza kwa laki na nusu tu, anayehitaji ani pm
mkuu ingekuwa busara tu ukalog in na kuanzisha uziwako na wewe
Kisa cha kujaza server!? We acha biashara huria ifanyike hapa.... kila mtu akifungua uzi sasa nani atakayesoma uzi wa mwenzie? Acha uchoyo wa fursa ww... we ndio walewake waonao tangazo la kazi na kuogopa kumwambia mwenzie eti kisa anataka aitwe yeye tu, kama haipo haipo tu......