Vumilia mama.sote tumepitia hayo.ila kama ameoa dai talaka.na uanze kutafuta suruhu ktk mabalaza ya usuruhishi ila kama ameoa dai.ila kama muislamu ameongeza mke badi vuta subra usidai.nitumie contact
Maisha bwana.ikumbukwe wsnao umia ni watoto ns c ww au mume.kikubwa vumilia kwanza ila kama kaoa waweza dai talaka lakini kama bado vumilia kwajili ya malezi mema ya wanao.ni huzuni sana cz wanao umia ambao hawastahiki ni watoto tu na c nyie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.