Recent content by asha ngohi

  1. asha ngohi

    Naanzaje kupata talaka?

    Mitihani tumeumbiwa wanadamu
  2. asha ngohi

    Naanzaje kupata talaka?

    Vumilia mama.sote tumepitia hayo.ila kama ameoa dai talaka.na uanze kutafuta suruhu ktk mabalaza ya usuruhishi ila kama ameoa dai.ila kama muislamu ameongeza mke badi vuta subra usidai.nitumie contact
  3. asha ngohi

    Naanzaje kupata talaka?

    Vumilia mama uciwe na haraka.muombesana mungu nac tumepitia hayo.ila kama ameoa dai ili uwe huru.tuma contact zako nikushauri ndugu
  4. asha ngohi

    Naanzaje kupata talaka?

    Maisha bwana.ikumbukwe wsnao umia ni watoto ns c ww au mume.kikubwa vumilia kwanza ila kama kaoa waweza dai talaka lakini kama bado vumilia kwajili ya malezi mema ya wanao.ni huzuni sana cz wanao umia ambao hawastahiki ni watoto tu na c nyie
  5. asha ngohi

    Matrimonial assets

    Nimejua vitu vngi sana shukrani jamii f
  6. asha ngohi

    Matrimonial assets

    Shukrani kwa somo
  7. asha ngohi

    TANAPA watoa nafasi za kazi

    Asante mapengo
  8. asha ngohi

    World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

    Safi sana
  9. asha ngohi

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Lindi ajiuzulu. Adai Kamati Kuu ya CHADEMA imefanya maamuzi ya kijuha!

    wakae chin wazungumze.vinginevyo chama kitakufa.mtapoteza wanachama.msipo ziba ufa ohoo.mtavuna mabua.mnawapa nafas washindan.huwenda wameteleza.mjadili muda mnao.si suluhu kumvua uongoz mtu.jitazame kwanza ww ukoje,hakuna mkamilif
Back
Top Bottom