Recent content by asasa

  1. A

    Mama sasa nimekua, acha kucheza vigodoro huku unatikisa Makalio

    Mbona kama unatusema sisi tunaosoma bandiko lako? Kumbuka sisi sio, mama yako umemuacha huko kwenye vigodoro mfuate ukamueleze anaweza akakuelewa. Ila najaribu kukivaa kiatu chako naona ni kikubwa na chenye maumivu makali sana moyoni. Pole
  2. A

    Kuanzia leo, wewe siyo baba yangu, na hutaruhusiwa kwa lolote dhidi ya Mali zangu

    Duh amekukosea nini kikubwa hivyo hadi kumuombea kifo kibaya Ila hakuna atakaye ishi milele
  3. A

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Siku hizi hadi wabusti na supu ya pweza, ndio maana hata wale wamama wanaouza karanga mbichi zilizochanganywa na nazi huko ma barabarani wameongezeka.
  4. A

    Familia isiyokuwa na mwanaume (baba) huwa inapwaya.

    Lile ulipangalo wewe sio alipangalo Mungu nilitamani sana watoto wangu walelewe na baba na mama lakini mapenzi yangu hayakutimia Mungu akamchukua mume wangu watoto wakiwa wangali wadogo,nilisimama kama mama hadi sasa mtoto wa mwisho aliachwa akiwa darasa la kwanza sasa yupo kidato cha pili na...
  5. A

    Pongezi kwenu Single Mothers

    Wanaume wenyewe siku hizi hata hizo mbegu zakiume wanazo basi, wamebaki kuuziwa dawa za kuongeza nguvu za kiume tu.
  6. A

    Bila kututajia mwaka, tuambie ulimaliza form four mwaka gani?

    Mwaka mmoja kabla nyie hamjafutiwa mitihani yenu
  7. A

    Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro inakufa

    Huyu anaona kwamba yeye na ITV ndio wanaijua ROMBO kuliko sisi wazawa, inabidi tumuambie asante kwa kuitangaza Rombo japo kwa mabaya ila wazawa tunaijua vizuri
  8. A

    Hivi Serikali hii ya Awamu ya 5 imeshindwa kweli kumshika na kumshtaki mtu anayeitwa Kigogo2014?

    Kama ni uchwara mbona hawamkamati siku zote anawatusi kila aina ya tusi linalomjia?
  9. A

    Serikali yataifisha simu za Tsh. Milioni 700 zilizokamatwa mpakani Rombo

    Hivi huo sio uhujumu uchumi kweli? Ila haiwezekani arejeshewe ameanza yeye serikali imeamua kumalizia. Mwana kulitafuta mwana kulipata
  10. A

    Tatizo la gonjwa la sukari Tanzania

    Mkuu hapo naona umeisahau kansa na magonjwa ya moyo maana sasa hivi hayo ndio yanaongezeka kwa kasi, gharama za matibabu ni kubwa
  11. A

    Mtandao wa DILLAXCOM ni wa matapeli?

    Muosha nae huoshwa ,cha ajabu ni kwamba wewe umeoshwa kabla lengo lako la kuosha halijatimia. Poleee
  12. A

    Mlionunua ardhi mkoa wa Pwani na kisha mkaitelekeza tegemeeni haya...

    Bagamoyo wanaiibia hadi serikali itakua wewe mtu binafsi, mimi ninakiwanja pale Ukuni kimepimwa na hati ninayo ila kulitokea tatizo la mipaka nilipoomba kufufua mipaka nashangaa anaeonekana nimepakana nae katika ramani ni tofaututi na aliyepo kiuhalisia maana katikati kuna kiwanja kingine...
Back
Top Bottom