Mbona kama unatusema sisi tunaosoma bandiko lako? Kumbuka sisi sio, mama yako umemuacha huko kwenye vigodoro mfuate ukamueleze anaweza akakuelewa.
Ila najaribu kukivaa kiatu chako naona ni kikubwa na chenye maumivu makali sana moyoni. Pole
Lile ulipangalo wewe sio alipangalo Mungu nilitamani sana watoto wangu walelewe na baba na mama lakini mapenzi yangu hayakutimia Mungu akamchukua mume wangu watoto wakiwa wangali wadogo,nilisimama kama mama hadi sasa mtoto wa mwisho aliachwa akiwa darasa la kwanza sasa yupo kidato cha pili na...
Huyu anaona kwamba yeye na ITV ndio wanaijua ROMBO kuliko sisi wazawa, inabidi tumuambie asante kwa kuitangaza Rombo japo kwa mabaya ila wazawa tunaijua vizuri
Bagamoyo wanaiibia hadi serikali itakua wewe mtu binafsi, mimi ninakiwanja pale Ukuni kimepimwa na hati ninayo ila kulitokea tatizo la mipaka nilipoomba kufufua mipaka nashangaa anaeonekana nimepakana nae katika ramani ni tofaututi na aliyepo kiuhalisia maana katikati kuna kiwanja kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.