Recent content by Asa'rile

  1. Asa'rile

    Kuanzia leo mimi sio wa kawaida..

    Ok. But Hyassin, inawezekana umemiss kitu kimoja tu........having a True living GOD. ukimpata huyo.....aisee! uuuuwi !
  2. Asa'rile

    Umuhimu wa kukumbuka siku ya kuzaliwa (birthday)

    wakati unazaliwa, mama yako alinusurika kufa. So shukrani kwa wazazi, ni very important. After all, watu wenye tabia ya kukata keki na kulisha washikaji na mashosti, wakasahau kabisa tabu aliyoipata mzazi wakati yuki leba, huwa wana tabia zinazofanana, ..mbaya
  3. Asa'rile

    Kuna uhusiano gani wa chumvi ama mkaa kuzuia pesa zisipokwe na chuma ulete

    MALAKI 3:10....................................
  4. Asa'rile

    Magic FM na Salum Mkambala

    Mini naona kitu tofauti sana kwake. ninachoona ni uchangamfu alionao. pia his a gentleman.....
  5. Asa'rile

    Hii dhana ya SINGLE MOTHERHOOD, ni HILA za shetani, OGOPA

    jana nilikuwa kwenye ministry moja nje kidogo ya Dar, nikawaona wadada fulani (niseme ni Majahidina wa Kikristo) wanaponda usawa wa jinsia, wanaponda u-single mother hood, wanapinga usenge -usagaji, hata vazi la suruali kwa wanawakee !!!!!!!!! du nikaona kweli hawa ndo wapepiiiiitwa na wakati...
  6. Asa'rile

    Hii dhana ya SINGLE MOTHERHOOD, ni HILA za shetani, OGOPA

    utanifahamisha mkuu kitakachoendelea pliiiiz
  7. Asa'rile

    Hii dhana ya SINGLE MOTHERHOOD, ni HILA za shetani, OGOPA

    Karibu zaidi ya miezi miwili sasa, nimesikia kwenye vyombo vya habari (zaidi sana Redioni) matangazo ya kumtafuta Singlemother Bingwa au bora, jasiri, hodari ! ili aweze kutunukiwa tunu ama zawadi. Watanzania wengi hawajui nini maana yake hii kitu. Katika Spiritual view, Mwenyezi Mungu...
  8. Asa'rile

    Hujuma jengo TANESCO: Watu wachanganya maji na mafuta kwenye mtambo wa kushushia vitu vizito ili jengo lisibomolewe

    Kumbe, Morogoro Road, ziko Tatu !!!!!, ya kwanza, Kutoka Posta (siyo pale askari monument), ikapita kariakoo-kigogo , kwa shehe yahya huseni , Ubungo maziwa...nakuendelea. Ya PILI. kutoka posta centre - Faya magomeni mikumi (sio mapipa) mburahati, maziwa Ubungo mwisho na kuendelea, pale...
  9. Asa'rile

    Hujuma jengo TANESCO: Watu wachanganya maji na mafuta kwenye mtambo wa kushushia vitu vizito ili jengo lisibomolewe

    "Mhandisi Ndyamukama Julius, kuvunja sehemu (siyo sehemu tu....jengo zima) ya jengo la Tanesco na lile la Wizara ya Maji na Umwagiliaji, ili kupisha ujenzi wa barabara ya juu (flyover) ya Ubungo." Juzi, Mhandisi huyuhuyu baada ya kutambua kwamba alijikurupukia kutangaza bomoa ya ubungo...
  10. Asa'rile

    Suluhisho la kupunguza uzito na kitambi

    ndugu Mimi, shwari lakini? ...nahitaji sana kupata anuani kamili ya hawa KING, najua waweza kunisaidia. plz tell me in 0716 7 666 40 au 0754 942779
  11. Asa'rile

    Niletee sarafu za Nyerere za 1976,1979

    Natafuta sarafu za shilingi moja-moja, za Nyerere za mwaka 1976, 1979, upande wa nyuma wa sarafu hizo,una mkono ulioshikilia mwenge. Ntakupatia shilingi milioni moja hapo hapo. Pia nina sarafu ya kijerumani ya silver makuti, za mwaka 1944-89 0716 7 66 640
  12. Asa'rile

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    1. Mh Rais, sitisha hili zoezi la bomoa bomoa kwa makazi na nyumba za wanadamu. Hakuna mtu anayependa kuishi kwa tabu na shida. Watu wamepoteza maisha tayari kwa kihoro, na mashinikizo ya damu; hasa wazee. Watanzania wasiku-reflect tena kuwa wewe ni muharibu wa makazi ya...
  13. Asa'rile

    Rais Magufuli amemteua Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU

    Yaani, wala halikuingia ndani ya mioyo ya watu
  14. Asa'rile

    Rais Magufuli amemteua Naibu Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU

    WOOOOOOOW !! UPANGA MWINGINE HUO , Hakuna aliyefikiria hilo japo kwa malio
Back
Top Bottom