wakati unazaliwa, mama yako alinusurika kufa. So shukrani kwa wazazi, ni very important.
After all, watu wenye tabia ya kukata keki na kulisha washikaji na mashosti, wakasahau kabisa tabu aliyoipata mzazi wakati yuki leba, huwa wana tabia zinazofanana, ..mbaya
jana nilikuwa kwenye ministry moja nje kidogo ya Dar, nikawaona wadada fulani (niseme ni Majahidina wa Kikristo) wanaponda usawa wa jinsia, wanaponda u-single mother hood, wanapinga usenge -usagaji, hata vazi la suruali kwa wanawakee !!!!!!!!!
du nikaona kweli hawa ndo wapepiiiiitwa na wakati...
Karibu zaidi ya miezi miwili sasa, nimesikia kwenye vyombo vya habari (zaidi sana Redioni) matangazo ya kumtafuta Singlemother Bingwa au bora, jasiri, hodari ! ili aweze kutunukiwa tunu ama zawadi.
Watanzania wengi hawajui nini maana yake hii kitu. Katika Spiritual view, Mwenyezi Mungu...
Kumbe, Morogoro Road, ziko Tatu !!!!!, ya kwanza, Kutoka Posta (siyo pale askari monument), ikapita kariakoo-kigogo , kwa shehe yahya huseni , Ubungo maziwa...nakuendelea. Ya PILI. kutoka posta centre - Faya magomeni mikumi (sio mapipa) mburahati, maziwa Ubungo mwisho na kuendelea, pale...
"Mhandisi Ndyamukama Julius, kuvunja sehemu (siyo sehemu tu....jengo zima) ya jengo la Tanesco na lile la Wizara ya Maji na Umwagiliaji, ili kupisha ujenzi wa barabara ya juu (flyover) ya Ubungo."
Juzi, Mhandisi huyuhuyu baada ya kutambua kwamba alijikurupukia kutangaza bomoa ya ubungo...
Natafuta sarafu za shilingi moja-moja, za Nyerere za mwaka 1976, 1979, upande wa nyuma wa sarafu hizo,una mkono ulioshikilia mwenge.
Ntakupatia shilingi milioni moja hapo hapo.
Pia nina sarafu ya kijerumani ya silver makuti, za mwaka 1944-89
0716 7 66 640
1. Mh Rais, sitisha hili zoezi la bomoa bomoa kwa makazi na nyumba za wanadamu. Hakuna mtu anayependa kuishi kwa tabu na shida. Watu wamepoteza maisha tayari kwa kihoro, na mashinikizo ya damu; hasa wazee. Watanzania wasiku-reflect tena kuwa wewe ni muharibu wa makazi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.