Asa'rile
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 438
- 120
Karibu zaidi ya miezi miwili sasa, nimesikia kwenye vyombo vya habari (zaidi sana Redioni) matangazo ya kumtafuta Singlemother Bingwa au bora, jasiri, hodari ! ili aweze kutunukiwa tunu ama zawadi.
Watanzania wengi hawajui nini maana yake hii kitu. Katika Spiritual view, Mwenyezi Mungu anachukia sana kuona ndoa zinazovunjika, au kuterekezana. siyo mpango wa Mungu kabisa.unless otherwise, au kama kuna kifo kimetokea kwa mmoja wa wazazi hawa. shetani au LUCIFER anafurahia SANA uchipukizi wa ma-singlemother (akichochea wanawake kujitafutia mabwana na kuzaa nao watoto kwa mababa tofauti bila ndoa wala posa wala mahari) ! kitendo hiki kinachochea uzinzi. wanaona ndio life style. hakuna haja ya kuoana-oana au ku controliana lets be free !!!!
(haya ni mawazo yangu naomba nisihukumiwe asante sana.
Watanzania wengi hawajui nini maana yake hii kitu. Katika Spiritual view, Mwenyezi Mungu anachukia sana kuona ndoa zinazovunjika, au kuterekezana. siyo mpango wa Mungu kabisa.unless otherwise, au kama kuna kifo kimetokea kwa mmoja wa wazazi hawa. shetani au LUCIFER anafurahia SANA uchipukizi wa ma-singlemother (akichochea wanawake kujitafutia mabwana na kuzaa nao watoto kwa mababa tofauti bila ndoa wala posa wala mahari) ! kitendo hiki kinachochea uzinzi. wanaona ndio life style. hakuna haja ya kuoana-oana au ku controliana lets be free !!!!
(haya ni mawazo yangu naomba nisihukumiwe asante sana.