Recent content by arusha sema

  1. A

    Jenerali Ulimwengu afunguka: Muislamu 'khamsa-swalawat'

    ww unajua n raia wa nchi gan.
  2. A

    Nafasi za Internship Programme

    Wana bodi, Natafuta nafasi ya internship ya marketing kwenye makampuni ya simu , ndo napiga Masters ila kwa sasa ( MBA in Marketing) nimeshamaliza course work ndo nafanya reserach kwa sasa. Je mimi nipo Arusha nahitaji kufanya Vodacom au Airtel application natuma makao makao makuu Dar au ofisi...
  3. A

    Peter Kibatala alivyokataliwa TLS

    mwanasheria gan una tabia za kike za kimbea hivyo .
  4. A

    Nyasura bunda kumekucha!

    mkuu sisi a town , tunachukua hela tunasepa ila kura chadema.
  5. A

    NEC imekula njama jimbo la kalenga.

    chadema n taasisi , siyo mtu mmoja wapo makamanda wengi watakaopiga timu pale, na ushindi mia mia.
  6. A

    Mbowe: Hakuna Mwenye Ubavu wa Kuiyumbisha CHADEMA

    saf sana kamanda mbowe,Makamanda tuungane tuwapoteze magamba kwenye raman ya siasa ya tanzania.
  7. A

    Lema atetea wana Arusha kero ya maji bungeni leo

    msalani wewe ulitaka aongee je? au ndo muendelezo wa kukosoa kila kitu? kama ameweza kuongea na maelfu ya wapiga kura wake, mikutano mbali mbali ya kitaifa atakuwa na woga wa kuongea mbele ya wabunge wenzake. kamanda lema is confidence enough
  8. A

    Lema atetea wana Arusha kero ya maji bungeni leo

    Mh. Lema, mbunge wa Arusha mjini ameuliza swali bungeni ni lini mpango wa serikali wa kusambaza maji mkoa wa Arusha utatekelezwa? Taarifa zinaonyesha wananchi wanaopata maji ni chini ya 38 %.
  9. A

    Kamati ya zitto shakani

    Kamati ya Zitto shakani • Makamu wake asema hajui kinachoendelea Hata hivyo, kamati hiyo imezua mashaka ya vyama hivyo kuhojiwa kwani pamoja na Zitto kutoa taarifa kuwa atakuwa nje ya nchi kikazi, makamu...
  10. A

    CHADEMA Itaendelea kuwa Taasisi Imara - Tanzania

    yatakuja tu unafikir yanachelewa kamanda.
  11. A

    CHADEMA Itaendelea kuwa Taasisi Imara - Tanzania

    safu ya chadema imetulia sana, uongozi uko makin, magamba yata haha sana, sasa hivi sijui yanapika propaganda gani
  12. A

    Mwenyekiti Mpya wa CHADEMA awe na sifa hizi:

    Binafsi napendekeza , pindi uchaguzi utakapofanyika mbowe aendelee kuongoza, maana chini ya uongoz wa kamanda wa anga, chama kimekua sana ndo maana ccm wana ha ha kila siku, na ikumbukwe kuwa ccm kwa sasa wana copy na ku paste from chadema kama kutumia helicopter kwenye kampeni, naona vazi lao...
  13. A

    Hellow wana JF i am new member

    hellow great thinkers iam new, tuko pamoja.
Back
Top Bottom