Wana bodi,
Natafuta nafasi ya internship ya marketing kwenye makampuni ya simu , ndo napiga Masters ila kwa sasa ( MBA in Marketing) nimeshamaliza course work ndo nafanya reserach kwa sasa. Je mimi nipo Arusha nahitaji kufanya Vodacom au Airtel application natuma makao makao makuu Dar au ofisi...
msalani wewe ulitaka aongee je? au ndo muendelezo wa kukosoa kila kitu? kama ameweza kuongea na maelfu ya wapiga kura wake, mikutano mbali mbali ya kitaifa atakuwa na woga wa kuongea mbele ya wabunge wenzake. kamanda lema is confidence enough
Mh. Lema, mbunge wa Arusha mjini ameuliza swali bungeni ni lini mpango wa serikali wa kusambaza maji mkoa wa Arusha utatekelezwa?
Taarifa zinaonyesha wananchi wanaopata maji ni chini ya 38 %.
Kamati ya Zitto shakani
Makamu wake asema hajui kinachoendelea
Hata hivyo, kamati hiyo imezua mashaka ya vyama hivyo kuhojiwa kwani pamoja na Zitto kutoa taarifa kuwa atakuwa nje ya nchi kikazi, makamu...
Binafsi napendekeza , pindi uchaguzi utakapofanyika mbowe aendelee kuongoza, maana chini ya uongoz wa kamanda wa anga, chama kimekua sana ndo maana ccm wana ha ha kila siku, na ikumbukwe kuwa ccm kwa sasa wana copy na ku paste from chadema kama kutumia helicopter kwenye kampeni, naona vazi lao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.