Huwa nawashangaa sana mabinti wanaolewa kusema kuwa Wanataka mwanaume mwenye hofu ya Mungu😂.
Kunapahala kwenye bible imeandikwa Mashetani nayo yanahofu hadi yanatetemeka...
Kile kitendo cha kuandika tu hapa..Nimeuona moyo ukipata nguvu tena ya kusimama na kuachana na hili jambo..
Nimejifunzq uzinzi ni addiction mbaya sana inayotumika na adui haswa ukizingati Mazingira yangu ya kuvutia zaid wake za Watu ndo ukakasi kabisa maana wasio olewa na single mother...
Hapana am tired..
Nafahamu sifanyo kitu kinachofaa jambo moja ni kwanini naendelea...Jana tu nimeistablish uhusiano mpya na nikawa najiuliza nitaendelea hivi mpaka lini na kwanini wake za watu.
Am truly tired of this shit.
Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.
Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..
Naishi Mkoa wa...
Hii inaukweli aslimia 100 %
Nachukia kulisema hili hata muda huu nimetoka kufanya hilo na mke wa Mtu ambae anaheshimika na kila anaemtizama ..
Soon nitakuja uzi wa confession.. Ni jambo nilis
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.