Recent content by ARUMTIDI APUOYO

  1. A

    Karibuni tujifunze: Question tags

    Najua vikisu vya NECTA tu ,siwajui hao vipanga unawasemea,sijakariri unavyosema wala sipendi kuwa mtumwa wa lugha unavyofikiria.
  2. A

    Baada ya kugundua ana mimba isiyo yangu, nipo katika wakati mgumu sana. Nishaurini

    Daaaah..hapa tutaoa kweli?.mamammamam watu hawana huruma kwa kweli.
  3. A

    Ni kweli kuwa wanandoa wenye magroup ya damu yanayofanana ni ngumu kupata mtoto?

    Mkuu elezea kidogo tupate elimu.hahahah. Lazima niwe dk kupitia elimu ya jf
  4. A

    Naomba msaada kwa huyu Mama mjamzito: amepimwa na kukutwa na kisukari wakati hakuwamacho awali

    Huyu Mama mjamzito alianza clinic wiki ya 13 akapimwa vipimo mbalimbali alikuwa Salama,imefika wiki ya 30( round ya tatu ) ya kwenda clinic Mambo yakabadilika. Amepatwa ana kisukari lakini awali hakuwa na kisukari, lakini historia ya familia yake mzee wake alikuwa na kisukari, amepungukiwa damu...
  5. A

    Maisha ninayoishi na wazazi wangu yananikatisha tamaa ya kuja kuoa huko mbeleni

    Nakazia hapo hapo ...mtoa maada anahitaji msaada na ndio lengo lake.
  6. A

    Nimeanza kuogea Omo baada ya harufu mbaya kwenye korodani kukataa kutoka mwilini mwangu

    Hapo upande wa Dunia unatudanganya...other wise we ni msafi
Back
Top Bottom