Huyu Mama mjamzito alianza clinic wiki ya 13 akapimwa vipimo mbalimbali alikuwa Salama,imefika wiki ya 30( round ya tatu ) ya kwenda clinic Mambo yakabadilika.
Amepatwa ana kisukari lakini awali hakuwa na kisukari, lakini historia ya familia yake mzee wake alikuwa na kisukari, amepungukiwa damu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.