Recent content by ArsenalFC

  1. A

    Natafuta kazi ya kujitolea kama secretary reception au assistant admini

    Tuma CV yako through mtanzaniah@gmail.com
  2. A

    Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

    ......na hata sasa ni Rais wa mioyo ya watanzania, Ndiye anaongoza nchi maana akiona jambo haliendi vizuri hawezi kufumbia macho. Mungu amlinde Rais wetu Dr W Slaa
  3. A

    Dr. Slaa arrives in the US, discusses constitution

    Daaah ha ha ha haaa! Hadi rahaaa, Rais wa kweli wa mioyo wa watanzania Mh sana Comrade W. Slaa. Tunajua huko US umewakilisha vema interests za watanzania na maslahi mapana ya nchi yetu Tanzania. Mungu aendelee kukulinda tunakuombea
  4. A

    PICHA: Ziara za Dr.Slaa,Hillary Clinton,Mwl.Nyerere Vs safari 357 za JK nje ya Nchi

    CCM imetufanyia watanzania vitu vya ajabu sana sana. Kutuanzishia siasa za kidini kwa minajili ya kutafutwa kuungwa mkono na makundi ya kidini, kuasisi na kuhubiri siasa za ukabila na ukanda..... Ktk hili pamoja na yote ila watanzania wameendelea kuwa wamoja wakitunza Amani waliojaaliwa na...
  5. A

    Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

    Mkuu usiwe myopic in vision and thinking. Think Big, Think globally ACT ni CCM na CCM ni ACT. Hapa M-saliti ZZK kafika bei na anatumika. TISS walimsoma vizuri wakajua anapenda sana madaraka na publicity, hapo hapo wakamchomekea na kumvuna Zitto. Once again ACT ni CCM ipo makusudi...
  6. A

    Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

    Usishangae ukisikia kajinyonga; maana sasa ache ajinyonge; hatuna namna tena
  7. A

    Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

    Umenibariki sana mkuu. Hakika giza haiwezi kuzima nuru wala dhuluma kushinda haki wala uongo kushinda kweli. Wanasema kwa maneno matamu jukwaani na kutenda kinyume na maneno yao
  8. A

    Hongereni CHADEMA Kwa Kuwang'oa Wasaliti

    Well said mkuu; Inteligensia ya chama ni habari nyingine; hata TISS wanajua hilo. Baadhi wasiojitambua watamshangilia lakini nayo ni kwa muda mfupi sana. Pole zao japo wakijitambua haina shida. Ukombozi uko pale pale na hizi ndio dalili zenyewe kwamba tushakaribia kufika nuruni
  9. A

    Sasa ni Dhahiri: CHADEMA Walikosea Kumfukuza Zitto!

    Mkuu chama kinafanya kwa vitendo kinachohubiri. Ukisaliti chama adhabu yake iko wazi labda uombe msamaha. Ukipeleka chama mahakamani automatically unajivua uanachama. Sasa ulitaka chama kivunje katiba kwa kumkumatia m-saliti?
  10. A

    Sasa ni Dhahiri: CHADEMA Walikosea Kumfukuza Zitto!

    Kilichomkuta Zitto Makambako juzi hatakaa asahau hata siku moja na kiukweli Alichanganyikiwa jukwaani na kujikuta akianza kutapatapa eti ooooh "Hata mkinizomea mimi ni Zitto yuleyule niliyefanya mambo makubwa bungeni na ninaheshimika"Hali ilikuwa mbaya zaidi pale Police walipoamua kumkamata...
  11. A

    Sasa ni Dhahiri: CHADEMA Walikosea Kumfukuza Zitto!

    DAY DREAMING...... Ni haki yako kuota; endelea mkuu
  12. A

    Kilicho nikimbiza chadema hiki hapa

    utasubiri sana wewe; dula la kuku hilo...... snitches wote tutawang'oa na wala hatutawaonea haya
  13. A

    Kilicho nikimbiza chadema hiki hapa

    Mleta uzi ni mpuuzi kweli kweli! Kama umehama we hama tu, kimbia tu tena sasa
  14. A

    Mh. Tundu Lissu katika kashfa ya Matumizi mabaya ya Pesa za mfuko wa jimbo

    Eti katibu wa CCM; Utaratibu na uendeshaji wa mfuko wa jimbo ina taratibu zake na ushirikishwaji mpana usitupotezee muda
Back
Top Bottom