Hata mimi huwa inanitokea mara kwa mara.. ila nikinywa pombe kiasi cha kunitosha, hata nikilala chali sioti hizo noto wala sikabwi sijui na hayo majinamizi
Mimi naona ni sawa tu maana hata wabunge waliopo kwa sasa hawajatusaidia chochote zaidi ya wao kusema ndiooo tu na kula kodi za wananchi. Mtu kwa sasa ukiguswa tu nenda kagombee.. utapata tu
Mimi toka nacheza premier sijawahi kula hata siku moja. Ila meridian ndi kila siku nacheza online kwa siku sikosi chini ya 50,000. Ila unatakiwa kucheza kwa dau kubwa...
Jana ilikuwa tabu ndugu.Nilikuwa mbele kidogo ya Kez Pub kuna grossary zimepangana.Nikasikia milio ya risasi kumbe ilikuwa Latemba, kukatulia.
Wakawasha bodaboda haooo Korogwe kwa Kawacha hapo ndio risasi kibao.Ila walikuwa wanapiga hewani hawajaua mtu.
Pia nasikia endapo wapo kundi na mmoja...
Habari wanaJF,
Naomba kuuliza, hivi kwanini watu wanapenda kuleta ukabila kwenye mambo ya siasa? Utasikia Raisi hawezi kutoka kanda ya Kaskazini, utasikia wengine hawawezi kuongozwa na watu wa Kanda ya Ziwa. Sasa hapo tuelewe lipi?
Tuacheni ukabila kwenye mambo ya siasa jamani. Tukubaliane na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.