Jinamizi ni nini? Kwanini hutokea wakati wa kulala tu?

Mimi huu ni mwaka wa tano sikumbuki nimewahi kuota ndoto gani nikilala nimelala nikiamka nimeamka sikumbuki nimeota ndoto gani mimi ilimladi kumekucha sina shida kutaka kujua leo nimeota ndoto gani najua ndoto ni ndoto tu hazina maana miaka ya nyuma nilisha ota ndoto nyingi sana lakini cha ajabu hamna hata ndoto yangu moja iliyo timia mm huwa hata nawashangaaga sana wanao ishi kwa kutegemea ndoto
 
Kwani kulala unaplan kuwa ulale vipi? Hiyo inatokea tu ukiwa usingizini unajikuta ushalala hivyo.

Duh, wewe ni wale wa kulala fofofo kumbe, unaweza hata ibiwa godoro ukabebwa ukawekwa kwenye chaga we bado umeudunda tu
 
pia kisayansi ukilala chali unadisturb equilibrium ya ubongo na moyo ndo sababu ya kisayansi ya hayo mauzauza. Inashauriwa usilale usingizi ukiwa chali position. Vifo vya ghafla usingizini pia usababishwa na kulala chali
atoto na we unalalaga chali dada'ngu? Njoo huku umsikie shostito cute b na mauzauza yake, kumbe siku ile tunamtafuta alipatwa na mauzauza ya kulala chali bana

kama huo ndio ukweli basi wajawazito wenye mimba kubwa wangepoteza maisha wengi sana
 
Last edited by a moderator:
Habari zenu wakuu,

Kuna vitu ambavyo naviwaza sivipati majibu mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie.

Ni kwanini mtu unapolala kwa kuangalia juu yani bati anakuwa anaota ndoto mbaya za kutisha na kama vile kuna kukabwa flani hivi na hii sio kwangu tu nimewasikia watu wengi pia wakilalamika.

Je, jambo hili linahusiana na mambo ya kichawi kama wengi wanavyozani? Au kuna namna kisayansi lazima itokee endapo mtu akilala hivyo labla kuna vitu vinaforce ubongo kuhisi hivyo?

Wataalam naombeni msaada wenu

Yaani hii kwangu imeshakua ugonjwa hunikuti nalala hivyo na nikilala siwezi pitisha ata lisaa limoja tu lazima nikurupuke kwa ndoto mbaya
 
Duh, wewe ni wale wa kulala fofofo kumbe, unaweza hata ibiwa godoro ukabebwa ukawekwa kwenye chaga we bado umeudunda tu


Mkuu wezi wale wanakuja na dawa za "kizungu" na wanakupulizia.

Ni afadhali wakuweke kwenye chaga tu. Wanaweza kukufanyia kitu mbaya.
 
Mimi nikilala kuangalia bati hata huo usingizi hauji ntakesha mpaka nibadilishe sasa huwa sielewi kwanini
 
Yaani hii kwangu imeshakua ugonjwa hunikuti nalala hivyo na nikilala siwezi pitisha ata lisaa limoja tu lazima nikurupuke kwa ndoto mbaya


Mimi ni Sheikh Kifyatu na huu ndio utabiri wangu:

Katika siku za nyuma wewe ulimkwaza binti mmoja, mzuri sana, maji ya kunde, mtanashati, na anaishi kaskazini ya hapo ulipo.

Huyu binti alikwenda kwao kijijini hivi karibuni (na alikuaga), na aliporudi tu ndio hizo njozi zako mbaya zilipoanza.

Kafara lake:
Vunja nazi mbili mbata, weka vipingili viwili vya muwa hapo juu, kata miche saba ya mmea uitwao mvunja-hukumu na uiweke pamoja na hizo nazi na hiyo miwa.

Mishale ya saa saba usiku, nenda njia panda yoyote ile ilioko karibu na makazi ya huyu binti. Weka hili kafara halafu washa miche miwili ya UDI. Wakati unaondoka basi usiangalie nyuma. Matatizo yako yote yatakua kwishney.

Kama ukifanikiwa na nilichokwambia basi wape JF mchango wako sawa na mshahara wako wa mwezi mmoja.

Just kidding folks.

Leo niko kwenye mood nzuri ile mbaya.
 
Hata mimi huwa inanitokea mara kwa mara.. ila nikinywa pombe kiasi cha kunitosha, hata nikilala chali sioti hizo noto wala sikabwi sijui na hayo majinamizi
 
Habari zenu wakuu,

Kuna vitu ambavyo naviwaza sivipati majibu mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie.

Ni kwanini mtu unapolala kwa kuangalia juu yani bati anakuwa anaota ndoto mbaya za kutisha na kama vile kuna kukabwa flani hivi na hii sio kwangu tu nimewasikia watu wengi pia wakilalamika.

Je, jambo hili linahusiana na mambo ya kichawi kama wengi wanavyozani? Au kuna namna kisayansi lazima itokee endapo mtu akilala hivyo labla kuna vitu vinaforce ubongo kuhisi hivyo?

Wataalam naombeni msaada wenu

Siku nyingine ukitaka kulala chali niite niweke ulinzi.
 
Kula vizuri, kunywa maji ya kutosha, oga kwa sabuni sahihii ya kuogea, lalia shuka safi, kitanda kiwe kizuri, chumba kiwe na hewa ya kutosha, na akili iwe na uhakika wa kesho, hata ulale kichwa chini miguu juu huwezi ota ndoto za ajabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom