Inshaallah usiwe na hofu. Jumatatu nitaleta mrejesho. Maana si mtumishi mmoja tu ni wengi tu. Sems watumishi wengi hasa walimu ni waoga sana kuekeza matatizo yao wao wanaona kama wanapewa tu kwa huruma hawajui ni haki yao tena ya laxima sana tena itoke kwa wakati muafaka.
Hapa kilivhopo muhim asaini mafaili na awapush wahasibu walipe haraka maana ni muda sasa. Unashangaa kwa nini hasaini kwa wakat? La kufikirisha zaid ni kuwa fungu lilishatoka hazina wao ni kulipa tu!!!!
Hizi pesa za madai hasz likizo zipo zimeshapitishwa ni swala la kulipwa tu. Yaani kinachotakiwa ni kuidhinishwa tu kwa kusaini mafaili ya watumishi wanaodai .na yapo na wanajulikana.
Kabla ya huyu mkurugenzi kulikuwa na yule bwana kibamba ilikua ukiiywa kujaza vendor form ukaijaza huchukui hata...
Kiukweli huyu afisa NDOMONDO ni jembe anajitahid sana kufanya kazi. Anajali na anajitolea sana hasa kwa upande wa Elim maalum. Maana anafuatilia sana anawatafuta wafadhili kufadhili rlim maalum pia anajitahid kuandaa semina kws walim wa elim maslum haka kabwana mdogo NDOMONDO kanachapa kazi ile...
Mkuu hapa kilichopo c kujiridhisha la ila madai hasa haya ya likizo yameshahakikiwa kinachofanyika hapa ni kulipwa. Sasa hawawezi lipa mpka aweke saini yake. Hapa ndio mafaili yamekaa tu ofisini kwake.
Mfano kwa walimu wao walijaza vendor form kwa ajili ya malipo ya likizo now ni zaidi ya miez...
Habari ndugu wajumbe?
Mkurugenzi wa jiji la Mwanza amekuwa ni kikwazo kuweza kupitisha malipo ya watumishi wa umma wa jiji la mwanza.
Katika kufuatilia suala la malipo haya nilikuwa najua kuwa kikwazo ni wahasibu lakini ndugu zangu wajumbe Mkurugenzi huyu ni kikwazo sana maana hataki kusaini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.