Je, tatitzo ni jf au ni itv na tbc???

Mimi huwa nashangaa hizo TV kuchukua picha kiupande.Tena wameanza Arumeru. Najiuliza kweli kuna umuhimu gani wa kuripoti taarifa hizo kama wanakuwa hivyo. Si bora waache tu

kama igunga tulikuwa na back up ya kutosha kiasi kwamba walishindwa kuchakachua.lakini arumeru tumewapa mwanya sana
 
Taratiibu uongo utakaa mbali naukweli!Nyie subirini tu!Sasa siwanasema hamna mgao nahautokuwepo!Kauli ya mwenyekiti wawabunge wadsm kutoka Kwa Ngereja!Lakini ukweli nikwamba mgao upo tena mkali mno!Ukiwa muongo usiwe msahaulifu.
 
Taratiibu uongo utakaa mbali naukweli!Nyie subirini tu!Sasa siwanasema hamna mgao nahautokuwepo!Kauli ya mwenyekiti wawabunge wadsm kutoka Kwa Ngereja!Lakini ukweli nikwamba mgao upo tena mkali mno!Ukiwa muongo usiwe msahaulifu.

?????!
 
Hivi hujatambua kuwa hapa JF ni sebule ya wana CDM. Ukitaka kujua anzisha topic ya kuikandia CDM uone majibu na matusi utakayoporomoshewa!!!!!
 
Ni muda sasa nimekua nikitatilia kwa kina habari mbalimbali hapa jamiiforum na baadae jioni huwa naangalia kwenye vyombo balimbali vya habari ili kujirithisha,likini tangu uchagzi wa arumeru umeanza nimejionea tofauti kubwe sana ya habari na kupata maswali megi bila majibu.
MF:jana habari zilizokuwa humu jamvini kuhusu CHADEMA na CCM ni tofauti na vyombo vingine vya habari.wakati CHADEMA ikisifiwa humu jamvini kwa idadi ya watu waliohudhiria kuwa ni wengi sana na kuwa ccm ilikosa watu na wengine kusema hata 50 Hawafuki,habari za tv's zilionyesha kunyume chake tena kwa tofauti kubwa sana.Je shida iko kwa maripota wetu hapa JF au kweye tv's?
au unashauri nini kifanyike ili tuweze kwenda sambamba?
(naomba msinielewe vibaya nikwa nia njema tu.)

Kuna mbinu ccm wanatumia vyombo vya habari ili juonyesha kuwa walohudhuria ni wengi
 
Tatizo la hapa Jamvini hatuna quality assessment na watu wengi wanaoreport wako biased.
Tatizo la TV Station nyingi, watangazaji/wapigapicha wengi wamenunuliwa, hivyo wanafanya kazi kwa maslahi fulani
Hivyo usiamini sana kila unachokisoma au kikisikia kwenye Media.
 
Ah!! Nyie endeleeni kutazama TV zenu za ndiyo mzee,mimi kwa sasa TV yangu ni JF,hakuna ubwanyenye hapa yaani ni free.
 
Tatizo la hapa Jamvini hatuna quality assessment na watu wengi wanaoreport wako biased.
Tatizo la TV Station nyingi, watangazaji/wapigapicha wengi wamenunuliwa, hivyo wanafanya kazi kwa maslahi fulani
Hivyo usiamini sana kila unachokisoma au kikisikia kwenye Media.

nimekuelewa ndugu
 
Ah!! Nyie endeleeni kutazama TV zenu za ndiyo mzee,mimi kwa sasa TV yangu ni JF,hakuna ubwanyenye hapa yaani ni free.

unaja ndugu maripota wa mwaka mmoja ulio pita na wasasa ni tofauti sasa ukiangalia hata baadhi ya vitu vinavyo postiwa maranyigi havina hamasa ua mshawasha kama hapo awali sasa hivi habari za hapa hazina mvuto tena na wachangiaji wengi mahiri wamekimbia humu jamvini je sababu nini?
 
Mkuu utaumiza kichwa bure. Hujui kwamba JF ni tawi la FREEMEDIA? wapiga kura wengi wa CHADEMA wako JF na kura wanapiga kwa majungu. Ni tv gani sasa inayoonesha vizuri habari za Arumeru ? Watuambie. Halafu kama itv na tbc1 hawarushi habari kuna madhara gani kama wananchi wa Arumeru wenyewe wanamjua mbunge wao watakayemchagua.

karibu jf! naona ndo unapima upepo wa humu au sio' najua we ni gamba xas y umekalia majungu, plzzzzzzz mods ondoeni watu wenye mawazo ya ukinega kama huyu pro gamba.
 
Back
Top Bottom