Dkt. Kigwangalla: Ripoti ya CAG ni ya uongo, nimechafuliwa sana. Prof. Adolf Mkenda ndiye aliyeratibu mimi kuchafuliwa

Ninawaza tu: hivi CAG amzulie Waziri au afisa fulani kwa manufaa gani?
Good question. Fitina huwa ni sehemu ya maisha ya wanaokuona unapafomu vizuri, uko kwenye mwelekeo sahihi, huku wao wakiwa wanakwama na kuelekea kusiko. Hofu yao ni kwamba ufanisi wake soon utageuka kuwa nongwa kwao. Understood?
 
Good question. Fitina huwa ni sehemu ya maisha ya wanaokuona unapafomu vizuri, uko kwenye mwelekeo sahihi, huku wao wakiwa wanakwama na kuelekea kusiko. Hofu yao ni kwamba ufanisi wake soon utageuka kuwa nongwa kwao. Understood?
Kigwa ana tafuta uteuzi na huruma tuu
 
Ninawaza tu: hivi CAG amzulie Waziri au afisa fulani kwa manufaa gani?
Usikatae inawezekana vizuri sana, pia inawezekana kigwangala nae ni muongo tu. Vyote vinawezekana
Kama huwa mnasemaa humu raisi anadanganywa, kwa nini ishindikane kwa cag
 
Ngwala taja hizo tuhuma.
Usisahau ishu ya kuwarusha watu wazima kichura na yule mama wa kipare naye.
 
Good question. Fitina huwa ni sehemu ya maisha ya wanaokuona unapafomu vizuri, uko kwenye mwelekeo sahihi, huku wao wakiwa wanakwama na kuelekea kusiko. Hofu yao ni kwamba ufanisi wake soon utageuka kuwa nongwa kwao. Understood?
Ndiyo lakini bado sioni mantiki ya mheshimiwa fulani kufanyiwa fitina kimahesabu. Ingekuwa kwa maneno ndiyo ningeelewa sana.
 
Usikatae inawezekana vizuri sana, pia inawezekana kigwangala nae ni muongo tu. Vyote vinawezekana
Kama huwa mnasemaa humu raisi anadanganywa, kwa nini ishindikane kwa cag
Angejitahidi kuonyesha maeneo yaliyokuwa siyo sahihi kwa maandishi tangu enzi zile. Inawezekana hoja zilipelekwa Wizarani lakini hazikujibiwa mpaka muda ukapita zikaandikwa kama zilivyo. Yeye alichukuwa hatua gani kwa kipindi kile?
 
Japo Wanyamwezi wana yao, ila watu wa Rombo kwa fitina, Mnyamwezi akasome.

Ninashawishika kumwamini Kigwangala.

Warombo roho mbaya sana
 
Niliwahi kusema hapa kwamba Kigwangalla siyo mnyamwezi. Angekuwa mnyamwezi asingejkuja kulialia Jamiiforums, maana mnyamwezi hubeba "mizigo" mizito.
 
Kingwangalla ni Mwizi. Tena akae kimya kabisa yasije kufumuliwa makaburi mengine. Mshenzi Sana.
 
Kuelewa hoja za Kigwangalla inabidi uwe unaufahamu wa control systems za uhasibu na auditing processes.

Kwa hili ana hoja za msingi na ameonewa ukisikiliza maelezo yake tu, binafsi naona matatizo yake binafsi na Mkenda wayamalize kwenye vikao vyao huko Lumumba majungu ndio hulka ya wana ccm tushawazoea wote wanafiki tu.

Ila on proffesionalism kwa watu makini kama auditor anaweza andika report kwa ushawishi wa mtu mwingine na ndio chombo kinachotegemewa ni mbaya sana.

An auditor report ikishakoselewa aikuwa independent inatakiwa kazi iliyofanyika ichunguzwe na ifutwe mara moja ikibainika kweli aikuwa independent. Uwezi tumia hiyo report its compromised na auditors husika inabidi kuchukuliwa hatua na proffesional body ya usimamizi.

Mambo mengine ni ngumu kuelewa if you don’t understand the specific industry norms, nje ya Tanzania accusations za Kigwangalla ni very serious offences kwa wahusika waliokaguwa wizara; unless ofisi ya CAG wajitete kwa kusema wametumia internal auditor report.

Otherwise kwa CAG this is very bad na bunge linatakiwa kuchukulia hizo hoja za Kigwangalla serious they rely on CAG reports kwa maamuzi yao mengi sana, sasa kama kazi zenyewe sio independent ni tatizo kubwa as far as auditing is concerned.
 
Back
Top Bottom