Recent content by armocem

  1. A

    Fundi simu nisaidie namna ya kubadilisha system file ya Tecno T301

    Hakuna msaada wa maana ulopata hapa bro.
  2. A

    Nafasi za kazi Tume ya Utumishi wa Mahakama

    Tatizo hizi nafasi huwa wanatangaza wakati wameishapata watu wao, kati ya mnaoomba, unakuta wanataka mtu mmoja au wawili kujaza nafasi zilizobaki au kutimiza agizo kwamba wametangaza. Any way tunajaribu, huenda nafasi moja hiyo ni yako!
  3. A

    Ikulu Yaita Waandishi Wa Habari kuwaonesha Hati Ya Muungano

    inaonekana akili yako inaishia mwisho wa pua yako, inakuwaje suala la kabila la mtu kuingia hapa? ni jinsi gani gani kabila la mtu lina uhusiano na anachokifanya? unaweza kuniambia ni jambo gani zuri ulilowahi kulifanya linaloshabihiana na kabila lako bora? JADILI MADA MAHUSUSI!!!
  4. A

    Waliokosa mkopo waongezeka mwaka huu wa 1013

    we unafikiri watu wote wakiwa waalimu, watamfundisha nani? hufikirii!
  5. A

    Mkopo

    "The student with Index number 'S0545.0026.2006' did not secure a higher education loan for 2013/14 academic year." ndo wana maana gani? nisaidieni tafadhali.
  6. A

    Zitto Kabwe: Msiwaamini wanasiasa, chama tawala wala wapinzani

    Kweli kabisa, katika elimu ya saikolojia, inakuambia kwamba mwanadamu asili yake ni mbinafsi, kila kitu anachokifanya lazima ndani yake kuna umimi hata kama ni kwa kiasi kidogo. Hakuna mtu anaweza kupata shida kwa ajili yako kwa asilimia mia. Mwanasiasa anatumia kipaumbele cha mwananchi...
  7. A

    MSAADA -m TCU SELECTION 2013/2014

    kana nke mobhaye mula mwita.
  8. A

    MREMA: Biashara ya kugombea Urais sina MTAJI nitamuunga mkono LOWASSA 2015!!

    mchezo huu wa siasa usiuingilie kichwa kichwa, ndo maana nimeamua bora niwe mtazamaji, utamwamini huyu kesho kakengeuka. Haya muone rais wa 1995. Kesho tena mwingine unayemwamini.:smash:
  9. A

    Wanafunzi washinda danguroni Dar, uvutaji bangi na biashara ya ukahaba

    Suala la kufeli kwa wanafunzi wa sekondari katika nchi za Tanzania lina dhana pana sana, sio jambo la kulaumu mtu au upande mmoja, wazazi wanazo lawama zinazowahusu, walimu wanazo za kwao, serikali ina sehemu yake lakini wanafunzi wanazo lawama nyingi sana.Watendaji wa serikali ni wazembe tena...
  10. A

    Unlock modem mpya za Airtel ZTE MF190

    ndugu yangu kama haina chip, ukishachakachua utafanyaje? kwa sababu unachakachua "unlock" inayobeba chip ili uweze kutumia chip yoyote (mtandao wowote). we endelea kukandamizia hiyo hiyo.
  11. A

    Unlock modem mpya za Airtel ZTE MF190

    nimejaribu, hatua za mwanzo zote inapita successfully, nikifika hatua ya mwisho (4) naambiwa "no username" nkifungua kwenye sehemu ya "server" naingiza username na password, nikikomand "unlocking" inaniambia "connection error" nifanyeje? tafadhali nisaidieni.
  12. A

    msaada ku-unlock modem ya aitel ZTE MF190.

    Nimejaribu ku-unlock modem yangu ya airtel aina ya ZTE model MF190, nafuata process zote kwa kutumi dc-unlocker 2 client, lakini nikifika hatua ya mwisho inaniambia "no user name" "error code 63" msaada tafdhali wana IT.
Back
Top Bottom