Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 775
- 743
Airtel walimaliza mambo cku nyingi
Daa inachosha kusubiri.......coz mpaka watu kitaa wanaona kama uliwazuga haujafaulu
TCU haitoi majina ya waliochaguliwa. Majina yanatolewa na vyuo vikuu husika. TCU wanachofanya ni kuweka utaratibu mmoja wa kuchagua wanafunzi kwa vigezo vilivyowekwa na vyuo vyenyewe wakizingatia vigezo elekezi vya TCU. Baada ya vigwezo hivyo kukamilika kwa utaratibu wa TCU, basi TCU hupeleka majina kwenye vyuo husika ili wahakiki kama waliochaguliwa wamekidhi vigezo vyao. Vyuo husika wakishajiridhisha ndio wanatangaza majina katika tovuti zao. Inaonekana ndugu yangu hujaelewa maana ya CAS. TCU haina chuo chake kikuu cha kujitangazia majina yake. Ni juu yako kwenda kwenye tovuti za vyuo ulivyopeleka chaguo lako na ukaandikiwa YES, you have met minimum requirement. Kizazi hiki cha Mulugo nacho!!! kazi kwelikweli.
Allen, we inaelekea ni mgumu wa kuelewa. kama unategemea kwenda University-ex form six, you have to make up you mind, otherwise you will face the consequences you can predict! Bye! Nisaliie wa Musoma na Kiabakari,Buhemba etc
Huo ubet wa mwisho ulioweka ndo umeharibu comment yako nzuri na elekezi Mkuu share
mbuya mura nehe ole kana mura weito.
Daa inachosha kusubiri.......coz mpaka watu kitaa wanaona kama uliwazuga haujafaulu[/QUOTE MAPRITENDA kitaa..................
yaani tunaonekana kama MAPRITENDA huku kitaa...............................
Daa inachosha kusubiri.......coz mpaka watu kitaa wanaona kama uliwazuga haujafaulu