Recent content by Armani William

  1. Armani William

    Mafuta safi ya alizeti jumla jumla

    Tunauza kwa jumla tu tajiri. mzigo mkubwa
  2. Armani William

    Mafuta safi ya alizeti jumla jumla

    Karibu bei ni 28,500 kwa jumla
  3. Armani William

    Mafuta safi ya alizeti jumla jumla

    Ndio yanaharufu yake. Ila nauza kwa jumla tu kwanzia dumu 30
  4. Armani William

    Mafuta safi ya alizeti jumla jumla

    Nipo Mbezi beach. 5ltrs ni 28,500
  5. Armani William

    Mafuta safi ya alizeti jumla jumla

    Habari wadau, ninauza mafuta ya alizeti kutoka Singida. Kiasi Kilichopo: 5,000LTRS Package: 20Ltrs & 5Ltrs Bei: Tsh 6,000 per Ltr Napatikana: Dar Es Salaam MOQ: DUMU 50 (20LTRS) Mawasiliano: 0652070444 Karibu Sana
  6. Armani William

    Wanaume mnaojitafuta anzisheni familia mkishajipata, mnaharibu maisha ya watu na kutengeneza single mothers wengi

    Umeongea vyema sana. Wanawake wengi ni SINGLES MOTHERS hii itapelekea kuwa na jamii isiyo imara maaana malezi yatakuwa ya upande mmoja. Hata kuoa SINGLES MOTHERS nayo imekuwa ngumu sana.
  7. Armani William

    Ushawahi kukutana na mtu anakuchangamkia anakujua jina nyumbani ila wewe humkumbuki kabisa

    Nilishakutana na mmoja kama huyo pale MLIMANI CITY DAR ES SALAAM ebana alinichangamkia akaniuliza hunikumnuki tulisoma wote shule flan Mwishoe akanitoa hela baadae ndio nikajua lile lilikuwa chaka na mimi nikajaa mazima
  8. Armani William

    Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

    Umelogwa baba. Nenda kwa Mwamposa ukapake mafuta na maji.
  9. Armani William

    Baada ya BRT kukosa mabasi mradi wa Mbagala waanza kuchakaa kabla ya uzinduzi pamoja na kwamba umekamilika kwa 99.9%

    Mbona hivyo tajwa hapo havihitaji uchunguzi. Vinaonekana wazi kabisa. Nafikiri ni swala la muda tu, BRT-MBAGALA itaanza kufanya kazi.
  10. Armani William

    Car4Sale Harrier New Model for sale

    Hahaha higo harrier ndio unaita new model?
  11. Armani William

    Namuonea huruma huyu binti

    -Kweli ni hitaji lakini kukidhi kiu ya hitaji lako halikuhitaji kuzunguka na kuumiza mtu moyo. Kuna uwezo wa kumwambia pia kuwa nataka kutuliza haja zangu na kutembea mbele. - Hivyo ndivyo wanaume marijali wanafanya. Unaweka wazi mipango yako.
  12. Armani William

    Namuonea huruma huyu binti

    -Kwanini uliingia kwenye mahusiano ilihali unajua vyema kuwa hauna kipato cha kuwa na mwanamke kwa muda mrefu. -Ungeliweka tokea mwanzo kuwa hauhitaji mahisiano ya muda mrefu. Wewe ni chapa ilale mbele. - Muda mwingine tunajitafutia mikosi laana kurogwa bure.
  13. Armani William

    Jina la Yesu wanalotumia wahubiri wengi si jina la Yesu wa kweli

    -Kama imani hauna jina la YESU utalitaja na hakuna kitakacho tendeka wala kutokea. Sababu ya kulitaja jina la Yesu Kristo ni kwamba Yeye alishinda kifo na ana mamlaka. UFUNUO 12:11 (Nao wakamshinda kwa damu ya Mwana-Kondoo, na kwa neno la ushuhuda wao; ambao hawakupenda maisha yao hata kufa.)...
  14. Armani William

    Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

    -Bibilia haijatungwa bali ni mkusanyiko wa vitabu mbali mbali kutoka kwa waandishi (Manabii, Mitume na wanafunzi wa Yesu) venye kuelezea habari za Mungu, mafunzo na Maagizo. -Bibilia tunazosoma sasa hivi zimetafsiriwa kutoka kwenye chapisho la Kwanza kabisa kwenye historia ya dini nacho ni...
Back
Top Bottom