Recent content by arl

  1. A

    Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

    Movie hii huniliza siku zote.Iko too emotional
  2. A

    Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

    Ptety zinta alifanya movie moja na shahurkan inaiitwa Kal ho na ho..inanitoaga machozi hadi hii leo
  3. A

    Kwa Wapenzi wa Filamu za Kihindi (Bollywood Films)

    Nimemiss sana movies za Kihindi. Wapenzi tuungane hapa tukumbushie na kuhadithiana wapendwa.
  4. A

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kulidadavua inategemea na nini maana yako
  5. A

    Nataka kuanza maisha upya baada ya kukosea kuoa

    Kayataka mwenyewe
  6. A

    Nataka kuanza maisha upya baada ya kukosea kuoa

    Na mimi nimemuachia mume wangu kila kitu njoo tuanze upya ila ulee kwanza watoto wangu .
  7. A

    Kwanini mwanaume ukiwa na rafiki wa kike, ni vigumu sana kwa yeye kukuunganisha na marafiki zake?

    Heshima na ni dharau kwambia mwanamke akutongozee mwanamke mwenzie
  8. A

    Ushauri: Unamtambulishaje mama wa kambo?

    Mama mlezi?mmhh kama hajakulea?
  9. A

    Tetesi: Mgomo wa Daladala kesho tarehe 14/09/2016

    Uvivu???hahaa kwa hiyo maovu yaendelee sababu tu tutafikaje kazini?kwani babu yako mzaa babu alikuwa anaenda shamba na gari lililopo km 50 kutoka kwake?wewe ndo mvivu..kama umenisoma vizuri nilimaanisha zifutwe zote then zianzishwe upya na mpya zenye utaratibu chanya..usikurupuke soma uelewr
  10. A

    Tetesi: Mgomo wa Daladala kesho tarehe 14/09/2016

    Kwa kweli Inabidi ufike wakati watanzania tuweke mazoea pembeni..ivi kama huna kosa,gari liko sawa kila kitu huyo trafic akukamate tu.Ingekuwa amri yangu ningepiga matufuku daladala zote maana hakuna hata moja iliyokamilika..iki tuanze upya na asiyetaka aache.pambafuu
  11. A

    Mkasa ulionikuta wikiendi hii

    Na akili zako timamu..unaopost ujinga ka huu..acheni utoto
  12. A

    Wanaume wenzangu naona Joyce Kiria Kileo katupa mchambo wa Karne

    Sasa je..wanaume sarawili bibi yangu anasemaga..
Back
Top Bottom