Uvivu???hahaa kwa hiyo maovu yaendelee sababu tu tutafikaje kazini?kwani babu yako mzaa babu alikuwa anaenda shamba na gari lililopo km 50 kutoka kwake?wewe ndo mvivu..kama umenisoma vizuri nilimaanisha zifutwe zote then zianzishwe upya na mpya zenye utaratibu chanya..usikurupuke soma uelewr
Kwa kweli Inabidi ufike wakati watanzania tuweke mazoea pembeni..ivi kama huna kosa,gari liko sawa kila kitu huyo trafic akukamate tu.Ingekuwa amri yangu ningepiga matufuku daladala zote maana hakuna hata moja iliyokamilika..iki tuanze upya na asiyetaka aache.pambafuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.