Recent content by Arkduke Ferdinand

  1. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Hoteli gani nzuri na ya kisasa Morogoro?

    Flomi hotel ndo Dope kwa sasa n karibu na stend huduma zao dope ziko Ravish lkn affodable kidogo ukilinganisha na Nashera
  2. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla

    Papa Francis utuombee [emoji1317]
  3. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya mitandao: Wangekuwa CHADEMA ndio wanaandaa karibu viongozi wote leo wangekuwa mahabusu

    Kaz kwel kwel.... Km ningepata fursa ya kumshaur prezdaa ningemuomba atafakar kwa makin nn hakijaenda sawa alaf afanyie kazi maana kwa uzoefu wangu ht km maandamano hayatatokea as long as watu wamejua kuwa inaweza kuwa solution bas watazid kuja na idea hiyo hiyo time to time maana idea haifi...
  4. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Waliowahi kuomba na kupata Visa tukutane hapa tupeane uzoefu

    Nimependa sana maelezo yako mdau ni uzoefu mzuri kwa sisi tusiwai safir kwenda mabara mengine
  5. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Mbunge John Mnyika akanusha kujiuzulu Unaibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara

    Wanaopiga kula ni wananchi, wanaowachagua hao wanaojiuzuli n wananchi pia so ilo sidhan km ni changamoto. Chama tawala kingejikita ktk maendeleo ili watu waweze kukiamin na kukikeep madarakan lkn kwa kuamisha wawakilishi wa wananchi sidhan km ni busara
  6. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Ni sawa kununua gari ya TZS 15 Million huku ukiwa unaishi nyumba ya kupanga chumba na sebule?

    Ur Genious sina haja ya kucomment ktk hii thread ushamaliza [emoji1430]
  7. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nataka kupata msaada na tips za betting mtu wangu ndo nimeanza anza kubet sina cku nyingi sana
  8. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Huyu mwanaume ananichanganya sana

    Chukua maamzi magumu mama huyo sio mwanaume na kwa tafakar ya haraka haraka nshajua n mtu kabila gn na hao n wavivu sana wanaume hao na sio watafutaji
  9. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jaman hakuna mtu anapiga mbet humu ndani?
  10. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Waziri Mbarawa atofautiana na Makonda, ataka Magari ya Serikali yatengenezwe na TAMESA

    Temesa walkuwa wp??? Kwa ilo nampongeza RC Makonda
  11. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Jaman leo niaje wale w mbet tupeane tips khs perfect 12
  12. Arkduke Ferdinand

    JamiiForums Tanzania Kwa wale waliochaguliwa UDOM admission letter zipo tayari

    Nimejaribu mara kadhaa inakataa aisee watsup?? Naomba msaada
Back
Top Bottom