Dr slaa mjanja alikomaa na ccm akapewa cash lipumba na uprofesa wake aliingizwa cha kike kama madiwani wa hai.
Hongera Kwa Josephine mushumbuzi.
Na lipumba angekuwa na mke sidhani kama angekubali ile tiketi ya go and return ya kigali,labda angemshauri wao waende Geneva.
Sent using Jamii Forums...
Ha ha haa.
Eti bashite ni RC.
Ha haaa
Lipumba ni Mwenyekiti wa kafu
Ha ha ha haaaaaaaa
eti akasia tunawadai bajeti ya miaka 20.
Wakilipa nitaenda likizo mpaka nistaafu ha ha ha mama mbavu zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiangalia Yale mashimo ya resolute pale Nzega machozi hunitoka na kikiwaangalia mawaziri na marais waliosaini hiyo mikataba makamasi huchanganyika na hayo machozi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo hawawezi kuhoji tena mambo ya hovyo kisa yanafanywa na mwenzao.
Kwa wingi huo tulitegemea upinzani wa kweli Kwa ajili ya kuiamsha serikali uletwe na wingi wao pia,Leo tabasamu anaomba msamaha jukwaani akilia kisa kabila Kwa kosa ambalo halipo Ila Ilikuwa haki yake kikatiba na...
Mimi nawashauri shemeji zangu wachaga,jirani zao wameru na waarusha na watani zao wapare ccm imeua biashara zenu,imewafanyia fitina serikalini na kwenye mashirika ya uma sasa ni wakati wa kuigeuza ccm yenyewe kuwa PESA,hima miaka Saba si mingi Ila inatosha kuvuna PESA.
Msishangae kama sisi...
Kwa hiyo Vita kubwa kama madawa ya kulevya revenge yake iwe ni kudai cheti tu ambacho dakika mtu anaweza kukitoa?
Subiri msukuma aondoke ikulu uone kama huyo bashite wako hajanyea debe na kurudisha hela za serikali alizochukua isivyostahili.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.