Malila, heshima kwako, waweza nisaidia contact details za hawa watu wenye mbegu au miche ya pines toka zimbwabwe. Nitashukuru sana kwa msaada wako kiongozi
Mkuu kubota, shukrani ana kwa maelezo yako mazuri. Naomba kufanhamu kama kitunguu kinakubali endapo utalima Shinyanga kwa kilimo cha umwagiliaji. Asante sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.