Chanzo cha fake products, importation zake, wauzaji wake wasipodhibitiwa bado wananchi watakuwa hawatendewi haki.
TBS imelala, mwananchi wa kawaida atajuaje simu ni fake? Hususan ambao tayari walishanunua simu hizo, hakuna elimu iliyokwisha tolewa, wao walizijua, walichukua hatua gani zisiuzwe...
Nilishaiacha siku nyingi kuangalia tbc, utakuta private tv stations zinaripoti matukio muhimu wao vituko, vikatuni nk.
Kwangu hiyo haitazamwi.
Naona ITV ndo tv ya taifa.
Kuanika ubadhirifu, matatizo ya wananchi ya ardhi, migogoro mbalimbali nk ndo kutomuunga mkono Rais? Acheni unafiki, hakuna asiyejua kazi nzuri ya ITV, upendeleo wa TBC, *tv nk.
Kituo cha tv ambacho ni sauti ya wanyonge inajulikana.
Labda km mmezoea kuishi kwa ujanja ujanja.
Too early to congratulate Tanesco. Bado wananchi/watumiaji wengi wa umeme wana malalamiko mingi isiyofanyiwa kazi.
Labda ungesema 'UNAWASHUKURU' the way they handled your case.
Una uhakika wa umeme kesho asb? Bado sana. Mbado.
Usimamizi makini ukiondoa ukwepaji kodi kwa kutorosha makontena, makontena yanayokadiriwa kodi ndogo kupindukia, kodi ktk sekta ya madini, utalii, makazi nk. Haya na mengine mengi yataongeza pato la taifa na maendeleo yataonekana kwa macho very soon.
Mungu azidi kutujalia viongozi (hasa wa juu)...
Hakuna chombo cha moto baharini kisichohitaji fire extinguisher maana si kila moto huzimwa kwa maji. Inategemea kinachoungua na chanzo pia.
Ref: fire triangle (chemistry ya form I)
Kati ya taasisi inayofanya mambo kimazoea na kidanganya toto ni TFDA.
Wanavamia maduka mawili matatu na kuchoma vijibidhaa visivyojulikana kwa watumiaji. Kesho si watu wataendelea kuzinunua na kutumia bidhaa hizo?
Hawatoi elimu kwa umma, hawatoi orodha ya bidhaa/madawa hatarishi nk.
Km ambavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.