Recent content by aretaskimario

  1. aretaskimario

    The difference between meditation and hypnosis is very stark

    Watanzania 80% hatujui kiingereza, sasa ukiweka mada kwa lugha hiyo ni kwamba unawanufaisha wale wanaojua ambao ni 20% . Nimeipenda tatizo lugha.
  2. aretaskimario

    Hivi kwanini bia huwa hazigandi?

    Ndio maana ukasema haigandi
  3. aretaskimario

    Kashfa nyingine ya Mh. Lowasa ni nini?

    Nimefurahi kusikia ivo :p
  4. aretaskimario

    CHADEMA sasa imekuwa pango la wanyang'anyi

    Umerusha povu hadi kwenye diko langu.
  5. aretaskimario

    Hivi kwanini bia huwa hazigandi?

    Bia zinaganda sana tu, tatizo ni kwamba zinachelewa kuganda.
  6. aretaskimario

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mbona zile simu zenu za star times hampunguzi bei?
  7. aretaskimario

    Faida ya kwanza yajidhihiri wazi baada ya Lowassa kujiunga CHADEMA/UKAWA!

    Wapunguzie nondo aisee watajinyonga.
  8. aretaskimario

    Faida ya kwanza yajidhihiri wazi baada ya Lowassa kujiunga CHADEMA/UKAWA!

    Dr silaha hajaondoka ukawa wewe! Punguza uongo.
  9. aretaskimario

    Ni kutu gani hasa Lowassa kafanya katika nchi hii hata aaminike?

    IQ anayo kubwa tu tatizo kajitoa ufahamu kwa mapenzi ya chake cha kijani. Huoni hata profile yake ni ya mihemko? :)
  10. aretaskimario

    Edward Lowassa ana nyota ya kupendwa, ni hatari

    Bao la mkono walimalizie bafuni manina zao!
Back
Top Bottom