Son of Gamba
Mkuu,tamaa ni mbaya sana. Mbowe kaamua kuuza chama na hapo tunaamini kuwa chadema ni NGO na si chama cha siasa. Zao ni kutafuta wafadhili wa ndani na nje ya nchi. Sasa kwa mfadhili wa awamu hii,wameangukia pabaya.
Mkuu,tamaa ni mbaya sana. Mbowe kaamua kuuza chama na hapo tunaamini kuwa chadema ni NGO na si chama cha siasa. Zao ni kutafuta wafadhili wa ndani na nje ya nchi. Sasa kwa mfadhili wa awamu hii,wameangukia pabaya.
Last edited by a moderator: