Recent content by Arafat

  1. Arafat

    Je, Taifa litaokolewa na wakina Mama?

    Ukiangalia kwa makini toka JPM kuingia madarakani na hasa baada ya bahari ya siasa kuwa na mawimbi makali na dhoruba za kuhogofya, wanaume waliokuwa kwenye siasa za kukosoa CCM na kumkosoa JPM wengi walinywea na wengine walirudi CCM. Kwa upande wa wanaume, mtu pekee aliyebaki moto kama moto...
  2. Arafat

    Kamati Kuu CCM yatoa uamuzi kuhusu wanachama sita waliokuwa wamefungiwa

    Waliyopanga yote ya katiba mpya walipofika Dom yaka yeyuka hadi Kifocho ambaye alikuwa anataka serikali ya mkataba alibadilika kuwa kikosi kazi cha kupambana kupata serikali 2. Bwana mkubwa alikuwa mkali alipopewa Umakamu wa Union kwisha habari yaka.
  3. Arafat

    Hii ndo siri ya taarifa ya TV zote kulazimishwa kujiunga TBC saa mbili jioni

    Oohoops! Here there is a truth from the facts and truth from the reasoning, both can derive the truth and probably shape society; + or -ly. What I believe is that, to you Mr. Aweda the only truth is what you see by your eyes.
  4. Arafat

    Wakazi Zanzibar walioathirika na mafuriko wanahitaji misaada ya hali na mali

    Huyo Arafat sio Mimi Wakuu naomba nichukue nafasi hii kubainisha hilo.
  5. Arafat

    Mzee Mwinyi: Magufuli Simba wa kazi

    Huyu Jamaa hafai kuwa hata Diwani baada ya uchaguzi wa 2015 mbinafsi, muonevu, mla rushwa mkubwa, muongo, mshirikina, Hana uzalendo. Hapendi kuona watanzania wanaendelea alikuwa anagawa Kazi kwa wachina na kutengeneza barabara mbovu akidhani bado watanzania ni wajinga wa miaka ya 80 ya kuchagua...
  6. Arafat

    Lowassa, Membe kutupwa nje, Makongoro kumrithi Kikwete

    Tabia hizi nani hana huko CCM? Kuanzia hata waliokwisha pita hadi UVCCM niambie ambae hana hizo tabia.
  7. Arafat

    Sihofii kuahirishwa Uchaguzi, Nahofia utangazaji wa matokeo ya Urais

    Mwanakijiji ukiangalia namna jamaa walivyo nyuti utaona kuna jambo na namna mwaka huu, hawana haraka wala pupa ingawa hawamjui mgombea lakini hawana Shaka. Shida yao mwaka huu sio mgombea ni namna ya kubaki madarakani kwa namna yoyote. Tayari Mkapa na Mwinyi wanangaika na makapi kwa kushiriki...
  8. Arafat

    Wakati wa mimi kusema umefika

    Ni aibu, kama kuna namna tuliyomalizwa ni namna tuliyofanyiwa vijana wetu wote wakawa mataahira. Aliyetufanyi hivi katuweza, sijui alitumia vyakula vya watoto au alitumia dawa za chanjo mimi sijui. Kama Taifa sasa ni lazima tufanye kila namna kujua kinachowafanya vijana wetu kuwa mataahira...
  9. Arafat

    Yaliyojiri kikao cha CC ya CCM Jana usiku

    Mzee CC haikuwa na agenda yoyote husidanganye watu. Mzee alitafuta namna ya kushiriki katika sehere kubwa ya kuapishwa kwa Mwana Mfalme no any more.
  10. Arafat

    Lipumba akataa kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa mojawapo wa kamati za Bunge

    Sijui kwanini Lipumba amekubali kuwa mjumbe wa Bunge la Katiba, maana jina lake ni miongoni mwa zile 201. Sina uhakika kama katika uteuzi wa majina yale na hata uwiano wa Bunge lenyewe Lipumba alikuwa anakubaliana nayo kwa asilimia Mia moja! Hata hivyo nampongeza kwa kuchukua hatua muhimu hata...
  11. Arafat

    Hivi ndivyo nimjuavyo Mwigulu Nchemba

    Alisomea uzeeni? Miaka hiyo unayosema alikuwa O-level wadogo zake walikuwa wapo chuo kikuu
  12. Arafat

    Kwanini ROMBO ipo TANZANIA badala ya kuwa KENYA?

    Aha ha ha samahani Mkuu kumbe hutaki tuchangie hoja inayopingana nawe!? Kwa heri
  13. Arafat

    Wanaume naomba ushauri wenu make mume wangu simuelewi

    Kupika ni elimu kubwa ambayo wanawake wengi wa kitanzania hawajui, wachache walio kubali kujiendeleza ndio nafuu. Angalia kila line ya maswali yangu kwa kweli wengine hawapendi kuongea hasa kurudia rudia kila siku jambo lile lile. Katika zama hizi za haki sawa na fursa sawa wanawake wengi...
  14. Arafat

    Kwanini ROMBO ipo TANZANIA badala ya kuwa KENYA?

    Bora umesema wewe nilidhani huyu ni Mkenya au Mrombo aliyekulia Mombasa maana hata wazee wa Rombo wengi mlima umewaneemesha sana kibiashara watalii wanao panda wana fanyabiasha kubwa sana Rombo ambayo haipo kwenye maeneo mengine.
  15. Arafat

    Wako wapi wale waliokuwa wakidai Zanzibari yao kwa matusi na vidumu vya tindikali?

    CCM itakufa Zanzibar ikichomoka. Ndio wanaoomba usiku kucha hili lisitokee.
Back
Top Bottom