thehunk
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 533
- 233
Dada sikiliza mume wako anatatizo moja tu ambalo ukiweza kulimudu atabadilika ,anasykology ya kuongoza hapendi kuongozwa wala kupingwa. Kwa hiyo wazo lolote akilitoa sema ok,likiharibika then its is your right chance to argue then fanya marekebisho. Usipofanya hivi atadhani dharau. Kumbuka mwanaume always ni mtoto kwa mwanamke ktk maswala ya mapenzi,jaribu kurudisha Yale matendo ambayo ulikuwa Unafanya wakati wa uchumba mfano ,dear Leo nikutayalishie nini,kuna juice unapenda nini? Vitu vidogo tu basi atachenji. Always kuwa smart in dressing,manukato,aproching face etc.Mimi nikirudi nyumbani lzm ninywe juice nimeweka wazi kwa wife nisipokuta lzm anipe sababu. Mume wako si muwazi kwa maswala haya jalibu kurivew maisha ya awali utajua tu. Mfano mwingine mke wng nikimuudhi naenda kununua nyama choma nikirudi anatafuna yameisha, unajua ni Kwanini enzi za uchumba kila out anapenda kwenda nyamachoma. Jitahidi dada akiwa juu wewe usipande Ndio sheria
yani ushauri huu dada yangu ndio ukweli mtupu juu ya tatizo la mumeo jaribu kuusoma kwa kuurudia rudia utapata point muhimu za kuweza ku solve hilo tatizo la mumeo,..japo sio mara zote useme ok.....sometime unaweza ku propose tofauti....