Tarehe ya mwisho wa Matumiz ipo jaman,changu mie mwisho wa Matumizi ni tarehe 9 June 2024...tuache kukurupuka tu,wengne hata hawana hivo vitambulisho kisha tunashabikia tu...Tunakubal vina mapungufu ila tuyajadili kwa undani na umakini.
Kamanda, hiyo mi sishangai,hii ni mara ya nne kusikia mahari hii na watu kulalamika.Kwa mfano dini yetu(Muslim) mtoto wa kike ndio anayetaja mahari, na mahari hutaja yeye kwa sababu ndio anayeolewa na kufahamu kipato cha mumewe mtarajiwa.
Kwahiyo kama binti ndio ametaja na mume mtarajiwa...
Watu wanazungumzia suala la Mauaj ya Albino,hakuna Kiongoz ambaye ataweza kuweka kila kitu sawa katikd Uongoz wake,Majumban kwetu kuna mambo tunashindwa...Hongera JK,hizo ni changamoto tu...
Suala la Israel kuwa na nguvu sio peke yao,hawawez,nyuma yao wapo wamerekan na hao hawawez kukubal Israel kuwa chini,Marekan walianzisha rasm taifa la Israel mwakat1948 na marais karibia 14 waliowah kwenda kule kaul zao zote zilikuwa ni kuipa hamasa Israel iendelee kukua na kutotawaliwa...tafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.