Recent content by Aputwike

  1. Aputwike

    Kubadilishana vituo vya kazi(afya/muuguzi)

    Habari wandugu. Mimi ni muuguzi katika wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani. Natafuta muuguzi kutoka wilaya ya Mbozi mkoa wa Songwe wa kubadilishana nae vituo vya kazi, yeye aje Kisarawe, na mimi niende wilaya ya Mbozi. Naomba msaada wenu wa kuusambaza ujumbe huu, natanguliza shukrani kwenu. Kwa...
  2. Aputwike

    GE2020 EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

    Kwanza, hongera kwa kampeni zako ambazo kweli zinamwitikio mkubwa kuliko mgombea yeyote. Pili, pole ni mbinu chafu zinazofanywa na dola kukukwamisha katika kampeni zako, lakini hata hivyo naamini ukisimama kupiga kampeni leo, bado utapata kura za tufani kwa kuwa watanzania wameikataa CCM kwa...
  3. Aputwike

    Kama unahitaji chumba maeneo haya, wasiliana nami

    Huyo dalali pumbavu zake. Kwa jasho gani apate pesa kirahisi. Pumnavu kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Aputwike

    Utashangaa bado kuna Watanzania 'watabisha' kuwa Tanzania hakuna kabisa uhuru wa vyombo vya habari

    Nimefuatilia huyu msemaji wa serikali, Dr Abbasi tangu ateuliwe, ni mtu asiyejiamini kabisa. Mwanzo alikuwa anasweat kweli kama anaongea na vyombo vya habari. Naona saizi amepata kaujasiri [emoji16]. Yaani nilikuwa namuonea huruma sana.
  5. Aputwike

    Msemaji wa Serikali: Serikali imeelekeza, imeonya na kusamehe vya kutosha. Sasa kuvichukulia hatua vyombo vya habari vinavyosambaza taarifa za uongo

    Masiya ndio kitu gani hicho wewe? Asiyekufahamu wewe kuwa upo under cover- yaani mnoko, ndiye atapata shida. Tunao kufahamu hatupati shida. Wewe ni kalai tu kama Katambi
  6. Aputwike

    Tuna haki ya kususia bidhaa kutoka Canada!

    Pumbavu kabisa!! Nimesoma nikajua hoja. Lipa deni!!!
  7. Aputwike

    USHAURI: Nimepata Milioni 10 cash, sijui cha kufanya

    Hongera sana mkuu. Na mimi ningependa sana kupata elimu kwa wazoefu. Tuwasubiri waje.
  8. Aputwike

    Kati ya IST, Vitz na Belta ipi bomba?

    Anataka kubana matumizi ya mafuta mkuu [emoji3]
  9. Aputwike

    Kati ya IST, Vitz na Belta ipi bomba?

    Habari wakuu. Kama kichwa kinavyojieleza, naomba kujua ni gari ipi nzuri kwa road trip na hata uimara kati ya hizi: Toyoya IST, Vitz na Belta. Ushauri nitakaoupata hapa ni kwa niaba ya rafiki yangu ambaye ananuia kununua gari kati ya mojawapo. Ametazama utumiaji wa mafuta, hautofautiani sana...
  10. Aputwike

    Ni pesa ipi inathamani kati ya Kwacha ya Zambia na Shilingi ya Tanzania.

    Sawa mkuu, unafikiri kwanini sija google nikaomba msaada hapa. Haya basi wewe uliyetupitia hizo site naomba nisaidie jibu basi
  11. Aputwike

    Ni pesa ipi inathamani kati ya Kwacha ya Zambia na Shilingi ya Tanzania.

    Mkuu hili jambo hadi nimefikia kuomba msaada, limenichanganya sana.
Back
Top Bottom