Aputwike
Senior Member
- Aug 9, 2016
- 172
- 189
Masiya ndio kitu gani hicho wewe? Asiyekufahamu wewe kuwa upo under cover- yaani mnoko, ndiye atapata shida. Tunao kufahamu hatupati shida. Wewe ni kalai tu kama Katambi
Hata Wayahudi walishusha credibility ya Masiya na wakamsulubisha, itakuwa kapuku mimi kushushwa credibility na Bibi Kalamba?.
P