Recent content by Apparatus

  1. A

    Freeman Mbowe na Wema Sepetu ndani ya penzi zito

    Audio Haitoshi kutoa mwafaka. Fanyeni video
  2. A

    Mshahara wa mwezi May vipi watumishi?

    Wazee wa mwisho wa Mwezi
  3. A

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhongo

    Safa DR. Nakuelewa katika kujenga taifa.
  4. A

    Ifahamu Mamlaka ya Kudhibiti Madini Tanzania (TMAA) iliyotumbuliwa na Rais Magufuli

    Hii idara iondolewe moja kwa moja tu. Hakuna kazi wanayofanya
  5. A

    Dr. Dalaly Kafumu: Kusema ukweli uamuzi wa Rais katika suala la mchanga utaligharimu taifa baadae

    Mimi siyo fisadi. Ninahaki ya kumuunga mkono Dr. MAGUFULI. Tumempata rais tuliyemsubiri kwa muda mrefu sana. hizi nyingine ni pumba tuu.
  6. A

    RC Mrisho Gambo: Serikali itaendelea kuwadhibiti wote watakaotaka kuingiza siasa kwenye majanga

    All in all Hakuna tatizokwa ninavyoona. Wapeleke kwenye mamlaka husika zitashughulikiwa tu.
  7. A

    Nimekuta chupi ya mke wangu chumbani kwa mdogo wangu wa kiume

    Sisi wa mjini tunasema PAPUCHI IMELIWA
  8. A

    Nampongeza Rais wa Tanzania kwa kuondoa watumishi wenye vyeti feki

    Kwako Mh. Rais wa Tanzania DR. John Magufuli, Popote ulipo unapoendelea na dhamira yako ya kuijenga Tanzania mpya ninakusalimu. Baada ya salamu hizo pia ninakupongeza kwa kuendelea na zoezi endelevu la kuwaondoa watumishi wote wa serikali waliogushi vyeti. Pia ninakuombea usife moyo kwani...
  9. A

    Hivi jimbo la Kisarawe lina Mbunge?

    Au tuwape Augustino Lyatonga Mrema.
  10. A

    UDSM yang'aka Prof. Kabudi kutajwa orodha ya wenye vyeti vyenye utata. Yataka watoa orodha waulizwe

    Professor Kabudi Paramagamba awezi kuwa na cheti feki sheria siyo Political science
  11. A

    Leo Serikali inatarajia kutoa Orodha ndefu ya Majina ya waliotengeneza vyeti fake

    Ee Mungu nisaidie nisiingiliwe na siasa katika mambo ya msingi. Kweli mtu na akili zako timamu unashabikia mtu mwenye cheti feki aendelee kufanya kazi alafu mtoto wa masikini aliyesoma kwa mtaji wa maandazi aendelee kusota nyumbani bila kazi. Kweli ile ripoti iliyoonesha vichaa ni wengi tanzania...
Back
Top Bottom