Kumekuwa na mabadiliko ambayo Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) wamefanya hasa ya kubadili vyeti vya zamani, ambapo vyeti hivyo vinahusisha hata vyeti vilivyotolewa miaka ya hivi karibuni yaani Miaka ya 2019-2020.
Mchakato wa mabadiliko haujatolewa elimu kwa Wazazi ambao ndio hasa...
Kumekuwa na ubabaishaji sana kuhusu suala la kufungua barabara ya kwa Makombe hadi Jerusalem, ambayo imefungw na mtu mmoja anayeitwa Jose ph dhidi ya wanaichi zaidi 30 wanao itegemea barabara hiyo,
Awali, Ofisi ya wilaya na Kamati ya urasimishaji mtaa wa Hondogo, ilikuja kusikiliza hii...
Haya uliyoyasema yanaanzia ngazi ya familia.. Kama mtoto analelewa hamuheshimu mama yake, anazunguka na mama ake kwenye singeli kukata viuno, anakaa balazani na wamama wanasimuliana mtoto anazaliwaje, unadhani wanaweza kumuheshimu mwalimu wa kike? Malezi, malezi, malezi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.