I can see
ni kweli mambo ya mitandao ya kijamii kwa sehemu kubwa ni kama tumeibaka, haitumiki ilivyokusudiwa ila pia inashangaza mtu una friends 1000 afu unaowafahamu ni 10 tu.
kwa hili umenifanya nigonge like "asante sana"
Shida ni kwamba wengi wanataka vitu vigumu kwa urahisi, na basi kwa kua ni masikini wanaamini ni halali wakitumia nje mbaya kupata kitu.
hivi unajisikiaje unapoangalia cheti ulichopata kwa kuvua c***i
hakuna sababu hapo hii ni njia ya halilisha uozo tu,
je ukiongea naye kwamba unataka hivyo atakataa?
je hiyo kutoka nje ya ndoa ndio njia sahihi ya kutatua tatizo hilo?
Duuh huu utumwa wa fikira sasa, hivi ukifanya kitu bila kuangalia kwa wengine nini kinafanyika maisha hayaendi? Unangangalia vakesheni kisa TF kampeleka Lizzy? yaani hakuna kabsa yaani daah ni kwamba yaani daaah!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.