Kaka uwe unatumia kichwa kufikiria na sio sehemu ya kukalia.. maana ya kuelimika ni kwamba ukiona tatizo linalotatiza wenzako walio wengi dawa yake ni kulishughulikia. Ina maana wewe ukimuona mwizi anamuibia jirani yako utamwacha tu aibe eti kwa kua hakuibii wewe?..
Kaka ulichosema ni ukweli mtupu hata mm binafsi imenitokea mara nyingi sana tatizo letu watz kuungana na kudai haki ni shida.. ingekua nchi za wenzetu hawa jamaa wangefungiwa! Maana huo ni wizi wa mchana kweupeee...
Kaka TataMadiba mbona Mwana ccm mwenzako mwigulu juzi alikua ITV kwenye kipindi cha dk 45 au kwa kua ni mdahalo na mnajua mtashindwa kwenye ushindani wa hoja basi ITV inageuka kua chadema.??
Tujiulize chadema imepata umaarufu Mkubwa kupitia mwenyekiti gani..? Bila shaka ni mbowe..! Zitto aliaminiwa na kupewa nafasi kubwa za kiuongozi na nani..? Bila shaka ni Mbowe..! Sasa iweje leo amvunjie heshima mtu aliyemjenga kisiasa..? Zitto tambua wapenzi makini wa cdm hatuna imani na wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.