Huo ndo ukweli, watawala wa Africa bado wana akili za Kisokwe. Si hata wewe unaona hapa kwetu.
Mzungu arud apige kazi reli zijengwe kwa gharama nafuu na viwanda vifufuke.
Wachawi wanaotesha mpaka mibuyu katikati ya mradi wa ujenzi kukwamisha barabara, Wanauq mpaka walimu watoto wao wasisome hata Madaktar wanakimbiq vituo vya kazi. Ndo Gambo sasa.
Mafanikio ni kuishi miaka 50 ukiwa mwenye afya njema, peza za kujikimu kisawasawa na mwenye nguvu za mwili. Yaani usiwe tegemezi sababu ya afya, pesa au umri.
Huu ni ujinga bado na kutupumbaza, Askari huyo huyo ataenda kufanya kazi halali akiwa na gwanda ila wakimtuma kufanya utekaji haramu anavua gwanda shida iko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.