Waweza kuwa sahihi mkuu, ila miaka ya 2010, hizi habari za Nibiru na Planet X zilivuma sana, tukiaminishwa kuwa doomsday imekaribia. Bahati nzuri haikutokea. Kumbe ulikuwa uzushi tu.
Sina uhakika kama hizo habari ni kweli au la. Kama siyo, basi hiyo induced singularity uliyoisema, itaweza...
Ni mtazamo wako hasi tu mkuu.
Nami nimepata taarifa muda huo huo nikaona nifanye ku-share kwa muda uliobakia. Kwa ulimwengu huu wa digitali, masaa matano yaliyokuwa yamebakia ni zaidi ya muda unaohitajika kwa mtu kutuma maombi kwa njia ya email. Kama kila kitu kipo, nusu saa yatosha kukamilisha...
THE UNITED AFRICAN UNIVERSITY OF TANZANIA (UAUT) is the private institute of higher education founded by Korea Church Mission Registered Trustees, with the objective of alleviating poverty and promotion of growth through raising Tanzanian Christian leaders who are equipped with excellence in...
Habari wakuu wa Tanzania ya viwanda.
Naweza kupata wapi Bipolar Stepper Motor NEMA17, 12V, resolution 1.8 deg/step na torque kuanzia 26N/cm na kuendelea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.