Sidhani kama kuna ukweli wowote kuhusiana na hii taarifa, pengine ungetuambia mwanzoni walikuwa wanalipa kiasi gani. Ninavyofahamu ukijulishalipa kodi zote ( kutoka kwenye mauzo ya dhahabu+PAYE ya wafanyakazi migodini) ilikuwa haizidi hata 3%. Ila taarifa zilizopo ni kuwa midogo ilikuwa inalipa...
Kwenye red, simtetei kwa sababu kadanganya umri lakini kuchelewa kuanza shule "form one "akiwa na 19 yrs inawezekana kutokana na matatizo ambayo huenda yakachangia kuchelewa kuanza shule. Mm nilianza Form One nikiwa tayari nina 20!!!!!.
Kama kuna ambae anaweza kunielewesha nitafurahi. Kwa tarifa zilizopo mkataba wa IPTL ulikuwa miaka 20, 1995-2015. Katika kipindi hiki mgogoro pamoja na wizi ndo vimetokea. Lakini kwa sasa tena IPTL imeongezewa miaka 20, yaani mpaka 2035. PAMOJA NA MATATIZO YOTE HAYA NANI ALIYEIONGEZEA IPTL MUDA...
Soma maelezo vizuri utaelewa tu. Kwanza kuna overpayment 2002-2006, kuna overpayment 2006-2012 zilioenda Escrow account (hii ni tofauti na total payment iliyokuwa inaenda Escrow kutoka Tanesco) na kuna riba ya hizi cash.
tuko pamoja kwa upande wa jina la galaxw yetu tu lakini si katika ukubwa wake pamoja na stars zilimo. You cant be serious saying the Milky way is one of the smallest galaxies. Real there is onlw one star in the Milkw way, real!!!!!! and some distant galaxies have two stars!!!!!!????????.
Rolla kwa taarifa tu The Milky way galaxy ni moja ya galaxies kubwa na kwa kiwango cha chini kuna zaidi ya stars 200 bils (Kumbuka Jua letu ni moja ya stars kwenye galaxy yetu-The Milky way, kwa maana nyingine Jua ndo nyota yetu tunayoizunguka ikiwa na hizo sayari 8). Most of the stars you see...
Dar es Salaam. It is now official. Development partners (DPs) have not released even a single dollar out of the $558 million (Sh937 billion), that had been pledged to boost Tanzania's 2014/15 Budget. They will only give it out upon seeing-and being satisfied with-the outcome of the...
(9) Mjumbe yeyote aliye nje ya maeneo ya Bunge Maalum kwa ruhusa ya maandishi ya Mwenyekiti anaweza kupiga kura kwa njia ya nukushi, mtandao au njia nyingine yoyote itakayoelekezwa na Katibu baada ya kushauriana na Mwenyekiti na kura hizo zitajumuishwa pamoja na kura nyingine zilizopigwa chini...
"(9) Mjumbe yeyote aliye nje ya maeneo ya Bunge Maalum kwa ruhusa ya maandishi ya Mwenyekiti anaweza kupiga kura kwa njia ya nukushi, mtandao au njia nyingine yoyote itakayoelekezwa na Katibu baada ya kushauriana na Mwenyekiti na kura hizo zitajumuishwa pamoja na kura nyingine zilizopigwa chini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.