Ni kweli kabisa kwani ilikuwa jambo la kawaida kabisa katika miaka hiyo kwa watoto wa umri huo kushiriki katika muziki na hata kwa shule kuwa na bendi ya muziki nakumbuka shule ya sekondari ya Kazima pale Tabora ilikuwa na vyombo vya muziki pia Mkwawa, Tosamaganga na zinginezo. Japo shule yangu...
Kwa wapenzi wa muziki wa Mbaraka Mwinshehe Mwaruka Soloist National, hivi karibuni binti wa nguli huyo aitwae Muhtaji Mbaraka Mwinshehe anayeendeleza kazi ya baba yake, kwa support ya KC Media (kampuni yangu), amerekodi wimbo mwingine wa baba yake aliourudia upya katika studio za KC Records...
Tofauti kubwa kati ya Mbaraka Mwinshehe na Juma Kilaza ni kwamba wakati Mbaraka alikuwa anatunga nyimbo zenye ujumbe wa moja kwa moja, Kilaza alikuwa zaidi akitunga nyimbo katika mfumo wa mashairi (guni) yenye mafumbo, kiasi cha kuficha sana ujumbe hivyo si rahisi kugundua matusi yanayotajwa na...
Wimbo huu wa Mbaraka Mwinshehe ulikuwa ni jibu la madongo aliyokuwa akirushiwa na Juma Kilaza wa Cuban Marimba. Jambo hili lahitaji maelezo kidogo. Salum Abdalah Yazidu (SAY) alikuwa mwanamuziki maarufu sana pengine kuliko wote nchini katika enzi zake. Mwanzoni hakuwa na lengo la kuanzisha...
Nalipenda sana wazo hilo la kuanzisha Maktaba ya muziki. Binafsi naona kama jambo hili linachelewa na natamani lisibaki kama wazo tu naomba kwa nguvu zote lifanyiwe kazi. Kipenzi chetu cha muziki Masoud Masoud ndiye haswa na kwa kwa uhakika anafaa kusimamia maktaba hii
Pata mahojiano na mkongwe mwingine wa muziki Robert Simba aliyeimba nyimbo kadhaa na Soloist National Mbaraka Mwinshehe Mwaruka nyimbo kama Uzuri si hoja, wajomba wamechacha, TANESCO, Safari sio kifo na zinginezo
https://youtu.be/cF7cZX2iGPc?si=pXeCTjn0dwE8bHiXhe
Kwa mara nyingine KC Media yawaletea mahojiano na nguli wa muziki wa dansi aliyepiga muziki na Solist National Mbaraka Mwinshehe Mwaruka kaa mako wa utayari video itatoka wiki hii. Huyu ni ROBERT SIMBA mtunzi na muimbaji aliyeimba nyimbo kadhaa akiwa na Super Volcano SAUTI YAKE YASIKIKA VIZURI...
Hili ni wazo zuri sana, wanamuziki wa rumba wa zamani walifanya kazi kubwa sana naomba wadau mmoja mmoja nao watoe mchango katika hili. Kwanza kwa wale wanaowajua vizuri basi watoe makala ama hata kitabu juu ya wanamuziki hawa wakongwe ama hata kwa kuelezea walivyojisikia kwa kushiriki katika...
Niliahidi kuleta kwenu nyimbo za Mbaraka Mwinshehe zilizorudiwa upya na binti yake Muhtaj Mbaraka Mwinshehe na kurekodiwa katika studio maarufu za KC Records pata link ya nyimbo hizo: Ester, Morogoro yapendeza na Soniasa https://www.youtube.com/watch?v=9MPMSvzN7r0...
Mkongwe David Senyagwa mtaalamu mbobezi wa gitaa la kati asimulia safari yake ya kimuziki Cuban Marimba KZ Morogoro jazz
Super Volcano na Mzinga Troupe aliyeshudia joto la ushindani kati ya Juma Kilaza na Mbaraka. Hebu msikilize niliahidi kutoa nyimbo 4 za Mbaraka Mwinshehe zilizorudiwa upya na...
Hivi karibuni Saidi Athumani Makelele aliyekuwa mpiga ala ya tarumbets katika bendi ya Supet Volcano alitoa maelezo ya kusisimua juu ya Soloist national Mbaraka Mwinshehe Mwzruka nakukaribisha uayasikilize ttps://youtu.be/fbJ2OlOadnY?feature=shared
Unanikumbusha mengi uchezaji unaousilimulia pia ulituhusu hata sisi. Ilikuwa kawaida miaka hiyo ya 1960-1980 kwa kuundwa kwa vikundi vya jiving shuleni hasa katika shule za sekondari. Uvaaji ni kama unavyosimulia shati jeupe lenye mikono mirefu suaruali nyeupe viatu vyeuse na bow tie. uchezaji...
Marahaba kwani kweli ni mkongwe pia Ahasante sana kwa heshima uliyonipa lakini jujasema kama na wewe ulisoma shule hiyo bila ya shala katika miaka ya karibuni natamani kujua kama kuna mabadiliko yoyote
Hii post ni ya zamani sana lakini hata hivyo imenivutia kuchangia. Ila mimi nimesoma shule hiyo zamani zaidi japo sikumailza kwani nilipata uhamisho pale wazazi wangu walipohamia Morogoro. Nilisoma darasa la tano na la sita mwaka 1968. Wakati huo ilikuwa ni Mihayo Upper Primary School na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.