Recent content by Antachable_kid

  1. Antachable_kid

    Tengeneza website kwa dakika Dk 40 tu

    Its only gud to use word press only for static website not dynamic hard coding is awesome
  2. Antachable_kid

    Special thread: Interesting (best) Quotes | Misemo yenye hekima ndani yake, Nukuu

    People who think they are crazy enough to change the world there the one who really do na akasema people dont know what they want untill you show them nikikumbuka hizo quotes zake steve jobs naamini kua jamaa alikua great thinker
  3. Antachable_kid

    Deep web/ Dark web unaijua? Na ushawahi kwenda huko na uliona nini huko

    Na jeshi la marekani walitengeneza hiyo website wakiwa na lengo lao maalum the onion router(tor) nadhani waliamua iwe sehemu sahihi yakutafuta yote walioyakusudia
  4. Antachable_kid

    Python Vs PHP Ipi inanifaa ? (All beginner's questions) Episode 1

    Me nadhani si suala lakulinganisha programming language ndio mana kila leo watu huvumbua language mpya ili kutafuta ubora zaidi lakini php na python zote zina utofauti kutokana na kazi husika na muda mwengine mtu anaweza asione thaman ya kitu husika kwakua tu hakipendi kitu hicho ila kwa...
  5. Antachable_kid

    Nijifunze php au node js na express?

    mimi nadhani ungeanza na php ukaisoma vizuri ukisha master hiyo language vizuri sasa hapo itakua rahisi kwako kusoma programing language nyengine kwani utofauti wa programming language mara nying huja kwenye syntax to lakin logic na algorithim hufanana hivyo ningekushauri usome php kiundani...
  6. Antachable_kid

    Je, Kuna uwezekano wa kuongeza Members zaidi ya 256 kwenye kundi la WhatsApp?

    ndio ipo unatakiwa kulipia hiyo whatsapp uache kutumia for free
  7. Antachable_kid

    Developers na Wadau wengine, njooni muone.

    muda mwengine inapaswa kujua kua ukiwa kama developer sio lazima kutaka kujua research ya muhusika ameifanyia wapi ila muda mwengine mwenye idea nae anaweza kuingizwa kwenye kundi la mjasiriamali kwani ni risk taker mara nyingi mimi mtu anaponiletea idea yake naweza kudevelop na ikitokea...
  8. Antachable_kid

    Naomba kuelekezwa namna ya kutengeneza API

    Api kwa lugha ya kiswahili tuseme ni mkalimani ambae anatumika kutafsiri muingiliano wa program moja kwenda program nyengine unatakiwa kujua lengo na dhumuni lakutengeneza hiyo Api yako mara nyingi mtu unachagua language yakutengeneza Api kutokana na programming language zilizotumika katika...
  9. Antachable_kid

    Nimeachwa, naumia sana. Nifanyaje?

    Pole sana kaka make sure unapoanza mahusiano mengine jaribu kua na mwanamke zaid ya mmoja itakusaidia sana hiyo kitu maana hata shambani sio kila mbegu zinazopandwa huota zote imagine kama ingekua shamba la heka 1 unapanda mbegu moja tu ya mpunga na isiote huoni hasara yake hapo ila pole sana...
  10. Antachable_kid

    Mpenzi aliyenisaliti amerudi, nawaza nimfanye nini?

    Mkuu kuna msemo naomba nikukumbushe tu unaosema kuwa kama aliweza kukuacha mara ya kwanza nakuondoka kitu gani kitakuaminisha kua asiweze kukuacha mara ya pili kumbuka a real one wont leave
  11. Antachable_kid

    App gani mzuri ya ku design jezi za vilabu?

    Finecut with Adobe illustrator that the solution
  12. Antachable_kid

    Msaada juu ya Hotspot kwenye iphone kupitia line ya halotel

    Haha hapana kaka haikuwa na setting za internet imenibidi service provider wangu anipatie internet setting maana nilikua nikiweka line ya tigo hotspot inakubali ila nashukuru kwa msaada wenu in any means
  13. Antachable_kid

    Msaada juu ya Hotspot kwenye iphone kupitia line ya halotel

    Yah huenda ikawa ni sababu pia kutumia matoleo ya zamani ila kwakweli wacha niendelee na hii seven mpka itakapogoma kabisa kunipa ushirikiano niutakao[emoji1787]
Back
Top Bottom