Naomba kuelekezwa namna ya kutengeneza API

Life starts at 45

JF-Expert Member
Sep 22, 2015
976
932
Wakuu nataka kutungeneza API sasa nilikuwa naomba muongozo kwa ujumla ni lugha gani zinatumika, fiaida na hasara ya lugha husika in general kuhusiana kutengeneza API.
 
Wakuu nataka kutungeneza API sasa nilikuwa naomba muongozo kwa ujumla ni lugha gani zinatumika, fiaida na hasara ya lugha husika in general kuhusiana kutengeneza API

Lugha yoyote ya programming na inategemea wapi inakotumika, kuna PHP, JAVA, PYTHON ......ETC

Kuhusu faida au hasara sijui nachojia unatakiwa ufuate sheria ya utengenezaji wa API.

MOJA WAPO NI KUTOKUFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE WA PLATFORM
 
mkuu kwa PHP naomba muongozo either vitabu au tutorial
Lugha yoyote ya programming na inategemea wapi inakotumika, kuna PHP, JAVA, PYTHON ......ETC

Kuhusu faida au hasara sijui nachojia unatakiwa ufuate sheria ya utengenezaji wa API.

MOJA WAPO NI KUTOKUFUNGAMANA NA UPANDE WOWOTE WA PLATFORM
 
Moja ni kujifunza jinsi ya kutengeneza API kwa maan dunia kwa sasa ndio inatumika kwa sana,
Pili ntaitumia kwenye android app ninayo develop
Kwa lengo lako basi ni vizuri zaidi ukaanza na RESTful APIs, kuna kitabu unaweza download hapo chini kwa lugha uliyoukizia (PHP), ukijisomea kupata basics na kuelewa terminologies nyingi muhimu.

Ukishaelewa basics, ni rahisi hata kuanza kutafuta tutorials kwa ajili ya android mobile apps kwa sehemu utakayokuwa umekwama.
 

Attachments

  • b31ec257-b513-4600-8b7b-f23b4789a19b.pdf
    11 MB · Views: 20
Kwa lengo lako basi ni vizuri zaidi ukaanza na RESTful APIs, kuna kitabu unaweza download hapo chini kwa lugha uliyoukizia (PHP), ukijisomea kupata basics na kuelewa terminologies nyingi muhimu.

Ukishaelewa basics, ni rahisi hata kuanza kutafuta tutorials kwa ajili ya android mobile apps kwa sehemu utakayokuwa umekwama.
mkuu hebu naomba cha java maana PHP sio rafiki sana kwangu kama java maan zote ni kama zinafanya kitu kimoja nimeona
 
Jifunze kwanza lugha mojawapo. Kuanza kuwaza kutengeneza api na haujui hata lugha moja ni sawa na kujenga kwanza ukuta halafu ndio uqnze kujenga msingi. Ni biashara kichaa
 
Api kwa lugha ya kiswahili tuseme ni mkalimani ambae anatumika kutafsiri muingiliano wa program moja kwenda program nyengine unatakiwa kujua lengo na dhumuni lakutengeneza hiyo Api yako mara nyingi mtu unachagua language yakutengeneza Api kutokana na programming language zilizotumika katika mifumo husika mfano kama program ya php kwenda kwenye java unaweza kutengeneza Api yako kwakutumia json ambayo inakua rahisi kuweza kupokea mawasiliano pande zote mara nyingi Api hutumika kwa namna ya data unavyotaka zipokelewe na hii hutokana na software layers ambazo ni
Hosting- where to store data
Database-how data stored
Logic-how data is processed
Api-how data is fetched
UI-how data is presented

Bila kusahau unapotaka kutenegenza Api unatakiwa kujua mambo yafuatayo
Data flow
Api format
Security
Reconciliation
 
Jifunze kwanza lugha mojawapo. Kuanza kuwaza kutengeneza api na haujui hata lugha moja ni sawa na kujenga kwanza ukuta halafu ndio uqnze kujenga msingi. Ni biashara kichaa
Java na C++ nazijua angalau kwa asilimia zaidi ya 50%, PHP ndio mbabaishaji maan ni ile nilisoma tuu ya darasani hivyo ndio sababu nimeona niachane na PHP kisha nitumie java.
 
Java na C++ nazijua angalau kwa asilimia zaidi ya 50%, PHP ndio mbabaishaji maan ni ile nilisoma tuu ya darasani hivyo ndio sababu nimeona niachane na PHP kisha nitumie java.
Sawa, lakini sikushauri. Nimetumia Java EE, PHP, Elixir, ASP, ASP.Net na JS. Sikushauri utumie Java.
PHP itakufaa sana kwa API. Kwa sababu ina framework za kutosha, ni lightweight.

Kwa mfano ukiwa na Yii2, ambayo ni PHP framework, unatengeneza basic API endpoints within 30min. Fully working with almost zero configuration. Java sasa....!
 
Back
Top Bottom