Recent content by ANSWISA Consult

  1. A

    JamiiForums Tanzania Maoni ya Dr. Lwaitama Kuhusu Hotuba ya Dr. Slaa...

    Well said
  2. A

    JamiiForums Tanzania Tunu ya taifa: Majuto ni mjukuu; mimi, wewe na yule tuchukue hatua, tusijilaumu!

    Watanzania kwa asili ni wavumilivu. Kwa hali ya maisha ilivyo, nchi nyingine pangekuwa hapatoshi. Chezea njaa wewe. Ukiwa na njaa kisha uniambie una amani, ni kutojua maana ya neno "amani"
  3. A

    JamiiForums Tanzania Vurugu Tunduma: Vijana Wawili wapoteza Maisha

    Viashiria vya CCM kuwa chanzo cha vurugu. 25.10.2015 ifike haraka.
  4. A

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha ajali ya chopa iliyombeba Filikunjombe

    Any machine can fail for one reason or another, even if it is new.
  5. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini gazeti la Uhuru hawakuipa Uzito habari ya kifo cha Deo Filikunjombe?

    A matter of priority. Sorry I do not read UHURU.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri kuaga mwili wa marehemu Deo Filikunjombe (Mb) - Kijichi jijini Dar es Salaam

    This is a reminder that life is short. 'r.i.p' deo.
  7. A

    JamiiForums Tanzania Chopa ya Livingstone Lusinde yapata hitilafu, yashindwa kuruka

    Uchaguzi wa mwaka huu! Mungu aturehemu. Tusiombeane vifo. Tumewaona walivyomtabiria ugonjwa mwenzao. Mithali 17:13 "Yeye arudishaye mabaya badala ya mema, Mabaya hayataondoka nyumbani mwake."
  8. A

    JamiiForums Tanzania Chopa Tanzania zinaendeshwa kama Hiace za Kiborloni

    Sifahamu chopa iliyoanguka ilikuwa aina gani na specifications zake. Lakini nimejaribu kutafuta ile ambayo kwa shape inafanana na kuangalia uwezo wa kubeba mzigo - si unafahamu Waswazi mizigo tunayobeba. Kisha nikajaribu kuangalia umbali Ludewa - Dar, was it long range, heavy duty type. Moja...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Kura za Dr. Magufuli dhidi ya Lowassa

    It is too late to campaign now. The decision is already made. Call him (EL) anything, People's power shall decide.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Tume ituambie turudi vituoni kusoma matokeo muda gani ? au kutakuwa na Kengele?

    Nyumba yangu iko mita 50 tu kutoka kituo cha kupigia kura. Tukishapiga kura niihame nyumba kwani sheria inanitaka niwe mita 200 kutoka kituo vya kupigia kura?
  11. A

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    Ni shida maana yake nini? Mwaka huu wa raha - ni burudni tosha - kuna changamoto. Ukiwa na usongo na mihasira yako utapata vidonda vya tumbo bure. Siasa ni kama Yanga na Simba. Ushabiki tu. Uwingi wa watu kujiandikisha mwaka huu ni ishara ya kuwa kuna jambo kama si kupata vitambulisho kwa...
  12. A

    JamiiForums Tanzania Don't Shout Argue - Mbowe ameitendea haki falsafa hii

    Sijawahi kumsikiliza Mbowe, lakini leo, nimepata kitu na natamani nimsikilize siku nyingine. Ametufundisha kulinda haki na ni mzalendo. Bunge lilivyotulia wakati anazungumza ilikuwa ni heshima tosha. Anayestahili heshima apewe.
  13. A

    JamiiForums Tanzania Usipotumia njia hizi kuu tatu hauji kupata ajira milele

    Kuna kitabu kinaitwa "Thamani ya uwezo uliomo ndani yako" kinahimiza kubadili mtazamo juu ya uwezo ulio nao. Natamani Watanzania wote wangekisoma, lakini ni wavivu kusoma vitabu, na ukimpa cha bure ndiyo kabisa - afadhali umwuzie atapata uchungu wa hela yake.
  14. A

    JamiiForums Tanzania Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Unaweza kuanza darasa la waliomaliza shule kuwapa mikakati, tukawatoza ka - elfu tano tu kwa siku - hiyo nayo ni fursa.
Back
Top Bottom