Matokeo yapo Tu...kutoka yatatoka...cha umuhimu Ni Subira Tu...kila mtu Anasema anavyojisikia...wewe Tulia...tokeo likitoka Tu utajua...kwanza simu utakazopigiwa Tu zitasema kitu....
Kijana fanya haraka uende ukawasikilize ili ujue Ni sababu zipi zimekukwamisha...hilo SI suala dogo kijana...fanya chap kabla hujachelewa...anza hata ktk ngazi za chini kama kwa afisa elimu kata...kama upo mbali na ofisi za necta...ila kama upo karibu Nazo nenda mapema...
Na Vipi kuhusu nalala za vyeti vya kuzaliwa??,cheti cha kidato cha nne ??n.k...kwani walioenda jkt walibeba hivyo vitu kweli???Sasa watatuma vipi maombi ya mkopo kama hawana hivyo vitu?
Nasikia Actuarial science wanakuwa ma-Economic Advisers.....nilishangaa kuona kozi kama hiyo Ni 'Non Prior ' kwa Taifa....au wameandika Tu vitabuni???kwa sababu nimecheki katika TCU -Guide Book 2015/2016....
Au wameandika tu???NAOMBA NIELEWESHWE!
ILA kama watatoa fomu mapema ,kabla watu hawajaanza kuripoti itakuwa vyema...ama sivyo watatoa taarifa ili ijulikane cha kufanya...ama sivyo wao wanaelewa ...pengine Mambo yamebadilika kwa Mwaka huu....Tuishi kimazoea..
Na Vipi kuhusu nakala ya vyeti vya kuzaliwa na vyeti vya kidato cha Nne??Kama vinahitajika katika kutuma maombi ya mkopo...hii ina maana watakao kwenda Jeshi inabidi waende na nakala hizo???Kwa maana kama wataruhusiwa kutuma maombi wakiwa Jeshini...na ukute mtu Hana nakala yoyote!!!!
Labda tusubiri Tu ,Hata wao wanafahamu ,Pengine wana mkakati tofauti kwa Mwaka huu...Hata mimi sifahamu, Ila maadm na wao Ni watu wenye uelewa...Tungoje tuone!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.