Katika kitu ambacho hupaswi kukipoteza ni utoto maana unafaida kubwa kwenye maisha ya ndoa ila wengi hawaelewi hili na hasa ambao huitajiki kuupoteza utakusaidia kwenye kuwa na furaha,hali ya kusamehe na kupuuza vitu kitu kikubwa kinachowatesa na kuwaharibu watu wazima kama wanavyojiita ama...
Ifike nyakati tuamke akili ya mtu mmoja na mawazo yake haviwezi kuongoza mamilioni ya watu bila ya kuwa na watu sahihi nyuma yake yeye qnajiona ndiye mtu mwenye akili kubwa ni dhambi sana
Mfano moja ya vitu vilivyotokea kwenye uongozi ni mataasisi mengi yanayohusika na ukopeshaji wa fedha yametetereka kama sio kufa kabisa na urudi kuangalia ni kundi gani la watu waliyokuwa wanategemea fedha zamikopo kutoka katika makampuni hayo jibu ni watanzania wakawaida sasa rudi katazame...
Hakuna tija hizi ni blaa blaa tu waliopo bungeni wanatosha watatuletea maendeleo hii michezo yakujificha nyuma ya haki za wanawake ni stori tu wanatutosha haohao
Hivi nyie akili mnatumia nini kuzipima haya itoshe kusema wote mnao support Ccm mna akili sana halafu mtu hafundishwi jinsi ya kumfunza mtu acha wafunzane ili wakati mwingine ajifunze kuchakata mambo .
Kama hauna hali yeyote mbaya iliyo katika maisha yako basi ni vyema ukaacha kuwaambia watu wana utoto maana huenda hakuna tunalolijua kuhusu anayoyapitia baada ya huo uchafuzi uliopita wa kisiasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.