Bodaboda wanapita humohumo tunapiona sisi kinyaaWakubwa wanafaidi!
Ni nadra sana kukuta wanandoa wakichat kwa meseji muda mwingi, kwa kile wanachokiita ndoa yenye heshima basi hutumiana jumbe nyeti tu au maelekezo ya majukumu yao.
Wakati huo akiwa na mchepuko atajiunga kifurushi cha meseji 3000 na zitaisha kwa wiki. Hii ni kwa wake kwa waume.
Roho ya kila mmoja wao inatamani kufanya huo wanaouita utoto (kuchat), lakini anaona si busara kuchat na mkewe. Anafurahia zaidi kuchat na mchepuko kwa stori nyingi hizo za kitoto.
Ni nadra kama sio hakuna kabisa kukuta mke na mume wanatazama 'pilau' kwa pamoja.
Wakati huo kila mmoja (wengi wao) hutafuta muda wa kutazama pekee yake au na watu anaodhani wanastahili huo 'utoto'.
Huyu akienda kwa mchepuko anakutana na GBs storage za pilau na anafurahia, ila akirudi nyumbani anazificha sio heshima.
Nilitaka kuandika kitu kuhusu chumvini, najua wanawake wengi kama sio wote wanapenda. Ila nami nimeona sio heshima.
Ndugu zangu, itoshe tu kusema kuwa hivyo vitu unavyojilazimisha kujiepusha mbele ya watu unaodhani unawaheshimu lakini bado unavifanya huko gizani, vivyo hivyo mwenzako naye anatamani vile vile.
Wengi huchepuka ili wakafurahie hayo mambo ya kitoto, kisha hurejea nyumbani kwenye maisha yenye kanuni serious ili kutumiza wajibu.
Hata mandiko yalituasa, bila kujifanya mtoto ni ngumu kuupokea wokovu.
Siku nikiwa mkubwa, nitarudi utoto..!!
Ncha Kali.
Nimeshakaa tayari,, vipi unakubaliana na ya mtoa mada?Na venye wote ni vibonge tuwe makini tusianguke
Nimeshakaa tayari,, vipi unakubaliana na ya mtoa mada?
Kama hujaelewa inamaana si size yako usije kuzwa bureMsaada kwenye tuta!
Kwa uelewa wangu ni Kwamba hivyo vitu vya kitoto/ujinga vikikosekana ndoani Ni nadra kupelekea kuvunja ndoa ila vinasababisha penzi/mahusiano kutokuwa na ladhaNakubaliana nae ingawa sipo kwenye ndoa na sijui wanafanyaje huko
Angalizo: Fanya utoto wote ila usifanye utoto wa kukojoa kitandani.
Mtoto anataka kupuliza filimbi kuita ndege hadi waje, Mzee unabaki !
Kuna jimama moja kati ya hayo unayoweza kudhani linajiheshimu balaa, ile kimasihara nikajifanya kama nimekosea clip ya mambo yetu yale.
Kilichofuata basi ikawa kila siku anataka umtumie, jioni anafuta zote.
Mwenye masikio na asikieWakubwa wanafaidi!
Ni nadra sana kukuta wanandoa wakichat kwa meseji muda mwingi, kwa kile wanachokiita ndoa yenye heshima basi hutumiana jumbe nyeti tu au maelekezo ya majukumu yao.
Wakati huo akiwa na mchepuko atajiunga kifurushi cha meseji 3000 na zitaisha kwa wiki. Hii ni kwa wake kwa waume.
Roho ya kila mmoja wao inatamani kufanya huo wanaouita utoto (kuchat), lakini anaona si busara kuchat na mkewe. Anafurahia zaidi kuchat na mchepuko kwa stori nyingi hizo za kitoto.
Ni nadra kama sio hakuna kabisa kukuta mke na mume wanatazama 'pilau' kwa pamoja.
Wakati huo kila mmoja (wengi wao) hutafuta muda wa kutazama pekee yake au na watu anaodhani wanastahili huo 'utoto'.
Huyu akienda kwa mchepuko anakutana na GBs storage za pilau na anafurahia, ila akirudi nyumbani anazificha sio heshima.
Nilitaka kuandika kitu kuhusu chumvini, najua wanawake wengi kama sio wote wanapenda. Ila nami nimeona sio heshima.
Ndugu zangu, itoshe tu kusema kuwa hivyo vitu unavyojilazimisha kujiepusha mbele ya watu unaodhani unawaheshimu lakini bado unavifanya huko gizani, vivyo hivyo mwenzako naye anatamani vile vile.
Wengi huchepuka ili wakafurahie hayo mambo ya kitoto, kisha hurejea nyumbani kwenye maisha yenye kanuni serious ili kutumiza wajibu.
Hata mandiko yalituasa, bila kujifanya mtoto ni ngumu kuupokea wokovu.
Siku nikiwa mkubwa, nitarudi utoto..!!
Ncha Kali.