Naomba unisaidie maana mtoto wangu analo tatizo hili nikaenda hospitali wakanipa anusal yaan ameshatumia sana na hospitali wakaniambia hawajawah kumfanyia upasuaji mtoto mdg hivi ila nijitahid kumpa mbogamboga, matunda kwa wingi pamoja na maji mengi.... plz nisaidie
Aisee nimesoma Nronga kule ni balaa hakuna nyumba ya udongo na zaziwla ng'ombe huko ni kama nyumba ya kuishi mtu maan limejengwa kwa matofali ya cement na na mlango wa grill kabisa yaan Chagga's tupo juuuuuuu
Jamani mbavu zangu mie..... yaan Am proud to Chagga hata kama Moshi haiendelei lakin ni mji unaoongiza kwa usafi na umejengwa kwa mpangilio hivyo tupo juuuuuuu zaidi
mari mari
P2 unatakiwa umeze kabla ya masaa 72 baada ya kufanya hilo tendo (sex)hivyo yakishapita Hayo masaa haitaweza fanya tena kazi.... hivyo my dear kuwa huru umewah hivyo hakuna chochote kitakachotokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.