Recent content by AnnaG

  1. A

    msaada madaktari

    Thanks alot
  2. A

    msaada madaktari

    Asante kwa ushauri na kunitia moyo
  3. A

    msaada madaktari

    Nimeenda mpenzi, ila Dr kanambia lazima nipasuliwe huku alivonipima ultrasound alisema kizazi kipo vizuri na mtoto naye yuko vizuri
  4. A

    msaada madaktari

    Asante kwa ushauri my dear
  5. A

    msaada madaktari

    Miezi 6 ya nini mkuu?
  6. A

    msaada madaktari

    Habari zenu wa ndugu, naomba madaktari mnisaidie. Mimi ni mjamzito wiki ya 23 mtoto wa kwanza nilimzaa kwa operation na alikaa wiki 2 tu akafa. Sababu niliambiwa njia ilifunguka hadi cm 6 ikagomea hapo hapo hadi wakaamua kunifanyia upasuaji. Baada ya mwanangu kufaliki nimekaa miaka 2 ndo...
  7. A

    Nifanye nini ili nimsahau?

    Oneni mlivo na roho mbaya! Huwa hamuwezi kuvumilia hata kidogo! Sasa ulimuacha ili aolewe na nani!! Mfyuuuu...
  8. A

    Ushauri : Hivi malavidavi ndo yanakuwa hivi au mimi mshamba? Maana naelekea kutokwa na roho

    uuwwiii!! Mwenzenu nimecheka natoa sauti... Aha ha haha
  9. A

    Wanaume kutaka wanawake wenye pesa

    Mbona mnajibu kwa kukwepa? Nyie mkiombwa pesa mnalalamika oh! Wanawake wanapenda pesa, oh! Wanawake hivi na vile, sasa na nyie mmeingia huko huko! Kwa hiyo mmeona mnapunjwa mmeamua nanyi muwe tegemezi!!
  10. A

    Ushauri: Mke wangu anatumia simu yangu na kutuma SMS za kichokozi na kupigia marafiki wangu wa kike

    Duh! Ushauri mwingine ni wa kijinga. Mshauriwa lazima ujiongeza
  11. A

    Bado sijapata mchumba

    Maadam sijapoteza wa kwako uwe na amani
  12. A

    Bado sijapata mchumba

    Natumai mu wazima kabisa. Nilileta uzi wangu hapa wa kupata mume mwenye hitaji, lakini mpaka sasa bado sijapata mwenye upendo wa kweli. Awe na umri kati ya 34-40. Karibu pm
  13. A

    Why me? Kila mahusiano napitia magumu

    Angekuwa na tatizo wasingerudi baadae, wao tu na mawenge
Back
Top Bottom