Habari zenu wa ndugu, naomba madaktari mnisaidie. Mimi ni mjamzito wiki ya 23 mtoto wa kwanza nilimzaa kwa operation na alikaa wiki 2 tu akafa. Sababu niliambiwa njia ilifunguka hadi cm 6 ikagomea hapo hapo hadi wakaamua kunifanyia upasuaji. Baada ya mwanangu kufaliki nimekaa miaka 2 ndo...
Mbona mnajibu kwa kukwepa? Nyie mkiombwa pesa mnalalamika oh! Wanawake wanapenda pesa, oh! Wanawake hivi na vile, sasa na nyie mmeingia huko huko! Kwa hiyo mmeona mnapunjwa mmeamua nanyi muwe tegemezi!!
Natumai mu wazima kabisa. Nilileta uzi wangu hapa wa kupata mume mwenye hitaji, lakini mpaka sasa bado sijapata mwenye upendo wa kweli. Awe na umri kati ya 34-40. Karibu pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.