Wazungu wapo sensitive kila idara. Hata kufagia. Uchanganyaji wa madawa ya kupigia deki. Inategemea unaongelea nchi gani. Ulaya hailingani kila nchi na sheria zake. Acha hizo maisha yamekupiga chenga
Jamani hivi mnjua biashara ngapi anafanya mashanja? Vijana fanyani kazi. Masanja ana mashamba ya mpunga kivao huko vijijini, ana kampuni ya ulinzi hapo Dar na vimgahawa hapo Dar plus na sadaka[emoji16] na alinza biashara kitambo
Mbona kama una chuki binafsi vile. Lete mstari wa biblia unaoonyesha sheria za mavazi hasa ukiwa mlokole. Binafsi nilimuona mchungaji anavuta sigara. nikamuuliza mwanini anavuta sigara? Akanijibu hata kwenye biblia inasema fuata maneno yangu usifuate matendo yangu” nikaishiwa pozi.
Jamani TZ mtaendelea lini? Yaani kuwa na gari uanaume. Wewe lzima umeingiza mgari yako yankudodea pale yard. Uanaume ni kumtoa girl/mke/watoto out na kufanya starehe zote na familia kuangalia mahitaji muhimu. Nchi za wenzenu mtu anapata license akiwa na miaka 18. Na hata hajui atanunua lini...
Kufananisha msagaji na hao wase.. ni vitu viwili tofauti. Msagaji anatumia sehemu ileile. Ila anakuwa na ujuzi zaidi na zana zinazofanana na maumbile ya kiume (kama anazo) sasa wanafananaje hao wanaotumia mapenzi kinyume na maumbile? Kuna baadhi ya wanaume wakubali tu kazi hawaiweize ipasavyo...
Nawapendea hapo waTz kwa kuweka hisia zenu binafsi. Baa ya kuunga mkono na kulikemea jambo hili, ila ndio kwanz mnamdhihaki. Akiua mtakuja kusema kwa nini kachukua sheria mkononi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.