Kwa mujibu wa ripoti ya CAG, wanachama wa Chadema wana kazi kubwa sana kwa mujibu wa ripoti hii, binafsi sitaki kuwapangia namna ya kuchukizwa na madudu yaliyoripotiwa humo kuhusu harufu ya ufisadi ndani ya chama, ila kwasababu kwa miaka mingi wanajipambanua kama watu wanaochukia uchafu nadhani...
*Hapa ndo tujiongeze kama malinz kashikwa tu siku ya 3 yupo lock up tumefika nusu fainal je akifungwa miaka si ndo tutafiaka kombe la dunia tu*[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
KESI YA MAUWAJI YA YESU
Dola Indidis ni mwanasheria kutoka Kenya aliyeishtaki Israel kwa kumuua Yesu). nadai hakuipeleka kesi mahakamani kwa misingi ya kidini bali kwa misingi ya Kisheria. Anasema "Its academic thing not a theological thing" Yeye anachoangalia si unabii bali legal procedure...
KWA UFUPI KUHUSU SHULE ALIZOSOMA MBOWE BIN GASTURA ¦¦
Alisoma shule ya msingi Lambo-Moshi kwa bahati mbaya hakuchaguliwa, ila baadae akajiunga kusoma 'form i-iv' shule ya sekondari Kibaha mkoani Pwani. Je unadhani aliipata vipi hiyo nafasi ilihali hakuchaguliwa! ?, na mwisho akasoma 'form...
Je Freema Mbowe #AlisomaShuleGani? #AlisomaMwakaGaniMpakaGani? #AlikuwaAkitumiaMajinaGaniShuleni? #BabaMkweAlitumiaVigezoGaniKumpaAjiraPaleBOT?
Haya ni maswali mepesi ambayo wafuasi wa msafara hushindwa kutoa majibu, badala yake huamua kutukana tu.
*Et _Kichuya_ kama _Popobawa_ Akikupitia usipo tangaza Anakurudia tena... Dakika zake zile zile za kuelekea kukucha* [emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38]
*hebu nikumbushe uchaguzi huu mdogo ulofanyika chama gani kiliongoza na ukishapata jibu hyo ndo itakuwa tafsir halisi kama ya kupoteza wafuasi au kuzidisha wafuasi*
#viva ccm#
#viva magu#
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.