Recent content by ankie

  1. A

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naitwa FRANK EMMANUEL MHONGOLE WILAYA YA KASULU 0769533363 AU 0758027233 MITA NAMBA HAITAMBULIKI NASHINDWA KULIPIA UMEME. MSAADA ZAIDI
  2. A

    Sijawahi kuona mkoa wa Kagera unakosekana katika 10 bora ya matokeo yoyote ya elimu Tanzania

    wachaga wala wahaya hawafai kupewa nchi. Toeni povu sasa najua nimewalisha kipande cha sabuni. Ila ninyi ni watani wangu
  3. A

    Mei mosi hiyooo inakaribia tukumbushane ahadi zilizosemwa na hazikufanyika

    Tufanye kazi zetu binafsi kujiongezea kipato akili za kusubiria matamko ya nyongeza Tuachane nayo. Kuna watu wapo kitaa wanafanya makubwa na hawakuwa na mitaji makubwa cha msingi tuelimishane kuhusu fursa na namna ya kuzichangamkia
  4. A

    Kwa waliosoma shule za msingi Iringa mjini miaka 90

    wakina tosha Daaaah Kitambo sana
  5. A

    Miezi mi nne bila mshahara serikalini bora kuacha kazi

    Pesa tamu utakapoipata. Pole but usiwaze sana hilo serikali ndiyo mtoaji huyo HR si kitu utasahau siku ukizipata nakusihi vumilia tu.
  6. A

    Ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Akwilina: Padri Mayanga ataka aliyeua awekwe wazi, awaombe radhi Watanzania

    Hizi kazi za kuamrishwa amrishwa madhara yake ndiyo hayo. Unashika bunduki unaambiwa Piga wewe unapiga tu. Tunapaswa kulinda Amani siyo kuingia Vitani
  7. A

    Mambo usiyoyajua kuhusu beach za Ukerewe yanaweza kuwa hayapo beach yoyote duniani

    daaaah rubya,kakukuru,............nilipakubali sana
  8. A

    Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

    Maisha yanapanda gharama mshahara haupandi. Mungu sikia kilio cha watumishi Wa taifa hili.ameeeen
  9. A

    Hizi nguvu za kichawi za Wakongo ni hatari sana.. Yaliyotokea kambi ya wakimbizi Nyarugusu Kigoma yanatisha!

    acha hii ni Kali tetemeko limeanzia kaburini alipozikwa mpaka hospital. Nipo karibu na eneo husika chezea bamutu Ba Kongo.
  10. A

    Wanaokunywa pombe wana ushirikiano mzuri kuliko Walokole

    Duuuh!!!! mada hii iko poa....acha niongeze ya pili kesho nikanunue bati za ujenzi.
  11. A

    IGUNGA, TABORA: Mwalimu wa Sekondari afikishwa mahakamani kwa kufanya mapenzi na mwanafunzi wake

    Hongera kwa kuanza maisha mapya ya misukosuko na gerezani.
Back
Top Bottom